Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Binafsi sitashangaa kabisa kama CIA ndo walihusika kwa kiasi kikubwa ila watu mnaishia kuisifia Mossad.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwez
 
Binafsi sitashangaa kabisa kama CIA ndo walihusika kwa kiasi kikubwa ila watu mnaishia kuisifia Mossad.
Nitakubali US inatoa msaada kwa Israel , nitakubali pia CIA inatoa msaada mbali mbali lakini kwa uzoefu wa intel pale ME nadhani Mossad wamekomaa...

CIA wana mambo mengi sana, CIA almost dunia yote wanaimulika, Mossad wame focus sana na masuala ya middle east, wamefanya kitu kimoja kwa muda mrefu, CIA 1947, Mossad 1949, hivyo nakiri kwamba kwa masuala ya middle east nadhani CIA hawajawafikia Mossad.

Nakazia kwa intel za ME, lakini overall CIA wanaizidi Mossad...
 
Nitakubali US inatoa msaada kwa Israel , nitakubali pia CIA inatoa msaada mbali mbali lakini kwa uzoefu wa intel pale ME nadhani Mossad wamekomaa...

CIA wana mambo mengi sana, CIA almost dunia yote wanaimulika, Mossad wame focus sana na masuala ya middle east, wamefanya kitu kimoja kwa muda mrefu, CIA 1947, Mossad 1949, hivyo nakiri kwamba kwa masuala ya middle east nadhani CIA hawajawafikia Mossad.

Nakazia kwa intel za ME, lakini overall CIA wanaizidi Mossad...
Sawa, lakini hata huko Middle East, Mossad mahasimu wao wakubwa ndo hayo makundi ya wanamgambo [militias].

Ni makundi yasiyo na sophistication. Ni makundi yasiyo na rasilimali [resources] za kutosha.

Kwa upande wa Israel/ Mossad, kila mwaka wanapewa msaada wa mabilioni ya dola kutoka Marekani.

Hata sasa hivi Marekani ina meli zake za kivita huko Mashariki ya Kati, USS Abraham Lincoln na USS Georgia kuipiga tafu Israel.

Hiyo tafu ni katika sekta nyingi, yakiwemo mambo ya intelligence.

Ingekuwa Israel inapambana na mataifa makubwa yenye mashirika ya ujasusi yenye sifa zilizotukuka kama KGB, MI6, au hata ISI, halafu ifanikiwe kama inavyofanikiwa dhidi ya hayo makundi ya wanamgambo, hapo ningekuwa impressed zaidi.

Lakini hao akina Hamas na Hizbollah, nah. Hao ni wanamgambo tu ambao naamini hata TISS isingeshindwa kuwadhibiti.
 
Kuna majususi wa Israel ndani ya Hizbullah!

Wakati huu ni mgumu sana kwa Hizbullah kufanya chochote. Hali inaonekana wapo uchi kwa Israel. Kwa sasa watulie wapange tena safu yao upya.

Ila nimeumia aisee!
Endelea kutumia umia tena na tena! Ukiona kama vipi nenda kasaidie kuliunda upya hilo kundi lije likusaidie kufikia malengo yako ya kidini.
 
Sawa, lakini hata huko Middle East, Mossad mahasimu wao wakubwa ndo hayo makundi ya wanamgambo [militias].

Ni makundi yasiyo na sophistication. Ni makundi yasiyo na rasilimali [resources] za kutosha.

Kwa upande wa Israel/ Mossad, kila mwaka wanapewa msaada wa mabilioni ya dola kutoka Marekani.

Hata sasa hivi Marekani ina meli zake za kivita huko Mashariki ya Kati, USS Abraham Lincoln na USS Georgia kuipiga tafu Israel.

Hiyo tafu ni katika sekta nyingi, yakiwemo mambo ya intelligence.

Ingekuwa Israel inapambana na mataifa makubwa yenye mashirika ya ujasusi yenye sifa zilizotukuka kama KGB, MI6, au hata ISI, halafu ifanikiwe kama inavyofanikiwa dhidi ya hayo makundi ya wanamgambo, hapo ningekuwa impressed zaidi.

Lakini hao akina Hamas na Hizbollah, nah. Hao ni wanamgambo tu ambao naamini hata TISS isingeshindwa kuwadhibiti.
Tiss inasafari ndefu ku deal na uga wa midfle east. Wale wako mbele zaidi. Sana sana wamsake adui chadema basi
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
itoshe tu kusema tunashukuru kwa kuonyesha nia ya kushiriki kwao,wajipange tena wakati mwingine
 
Sawa, lakini hata huko Middle East, Mossad mahasimu wao wakubwa ndo hayo makundi ya wanamgambo [militias].

Ni makundi yasiyo na sophistication. Ni makundi yasiyo na rasilimali [resources] za kutosha.

Kwa upande wa Israel/ Mossad, kila mwaka wanapewa msaada wa mabilioni ya dola kutoka Marekani.

Hata sasa hivi Marekani ina meli zake za kivita huko Mashariki ya Kati, USS Abraham Lincoln na USS Georgia kuipiga tafu Israel.

Hiyo tafu ni katika sekta nyingi, yakiwemo mambo ya intelligence.

Ingekuwa Israel inapambana na mataifa makubwa yenye mashirika ya ujasusi yenye sifa zilizotukuka kama KGB, MI6, au hata ISI, halafu ifanikiwe kama inavyofanikiwa dhidi ya hayo makundi ya wanamgambo, hapo ningekuwa impressed zaidi.

Lakini hao akina Hamas na Hizbollah, nah. Hao ni wanamgambo tu ambao naamini hata TISS isingeshindwa kuwadhibiti.
Tusisahau kwa historia ya muda mrefu Mossad imeshiriki katika migogoro na nchi nyingi ME, kuanzia Iraq, Syria, Jordan, Lebanon, Iran hadi Egypt , Palestine n.k

Hao jamaa wana survive ME kwa intel zao.

Japo nikiri kwamba lile shambulizi la bunker buster ile ni mbinu ya US. Hayo masuala ya maanganizi ya namna hio ni USA.

Mwishoni mwa 2023 US walituma bunker buster nyingi sana almost 100 zenye pound 2000 hivi kwa Israel kwa ajili ya Hamas kupiga tunnels zao.

Kingine go ahead ya kushambulia Beirut kwenye handaki la Nasrallah ni US mwenyewe, kwa maana kitendo cha Netanyahu kutoa go ahead akiwa New York nadhani alikutana kabisa na national security team ya US akiwa huko US wakampa go ahead.

Vita yeyote Israel akianzisha lazima US italipia gharama flani, kwa tishio la Hezbollah katika vita ya 2006 , Israel peke yake haikuwa vyepesi kujiamini kiasi kile kufanya hatari kuanzisha vita na Hezbollah kwa kufanya shambulizi kama lile ijumaa iliyopita, tukizingatia kwamba Hamas imemsumbua Israel sana wakati Hamas ikionekana ni mtoto kwa Hezbollah.

Nakubali na sababu moja kuu, US ipo kwenye mvutano wa muda mrefu na Iran, na Hezbollah ni jeshi la Iran nchini Lebanon.
Hivyo ni katika mipango US kuivunja nguvu Iran.
 
Ton we uanjua kg ngapi 1000 sa times 80 hapo kg 80,000 hio ndio akili? Si mnasifu maboom ya America yanapenya mpaa chini maboom manne ingetosha kabisa, ikiwa kweli kila boom moja ni 2000 kg au 2 ton yangetosha kupenya na kuangusha jumba. Hapo ndio ujuwe Israel hana hasara anaye kula hasara ni mpiganaji wa kweli USA. Mwambieni atengeneza ton 80 zingine kwa kiongozi mpya 😄
walitaka kuhakikisha hata kucha ya naslarah haionekani na hicho ndicho kilichotokea..wamemsaga saga mwili wote hakuna hata kiungo chake kilichobaki..amekufa vibaya sana asee
 
Tafuteni series za Fauda na Tehran mziangalie ndio mtajua hawa jamaa wa Mossad wana inteligency kubwa kiasi gani.Kama Kuna series nyingine zinazofanana na hizo mnazijua naomba muweke hapa nizitafute Ili niziangalie pia.
 
Tafuteni series za Fauda na Tehran mziangalie ndio mtajua hawa jamaa wa Mossad wana inteligency kubwa kiasi gani.Kama Kuna series nyingine zinazofanana na hizo mnazijua naomba muweke hapa nizitafute Ili niziangalie pia.
The Spy kuhusu Eli Cohen yule jasusi wa Mossad.
 
Wangekua vizuri wasingepigwa tukio la Oktober 7 mwaka Jana
Mi ninachojiuliza.
Kwanini Hezbollah hawawezi kulenga viongozi wakubwa kijeshi wa Israel? Wanasiasa na viongozi wao?

Israel na CIA wanaua viongozi wa Hezbollah na Iran kila siku, juzi hapa walimuua kiongozi wa Hamas nchini Iran, ikawa sintofahamu walitumia silaha ipi...

Israel wanapiga HQ za Hezbollah, Hivi Hezbollah hawana missiles kupiga nyumba hata ya waziri wa ulinzi Israel?

Hii kusema tuta replace watu kila siku ni ujinga...

Kuna vichwa katika miaka 100 wanatokea mara moja kwenye kizazi.

Huwezi replace kila mtu katika wakati sahihi, ndio maana Israel wanaelewa hilo, kuna watu Mungu huwa anawabariki wanakuwa na upekee tu.

Kama Hezbollah hawawezi weka makachero ndani ya Israel, wafuatilie mienendo ya kila kitu hakuna siku Hezbollah au Hamas itawaweza... Zitabaki hizo story kila siku za kufa shaheed..

Vita ya kurusha tukombora uchwara kambi za IDF wanakufa askari wa 3 na majeruhi 6 halafu nyie mnapigwa kuanzia HQ zenu, viongozi wa wings zote za jeshi, na mamia ya raia wenu wanauawa ni upuuzi.

Wataendelea hivyo hivyo kila siku "tutaleta mwingine". Huku wakizidi kuchinjwa...

Mimi ningekuwa kwenye uongozi, ukiua mkuu wa majeshi na sisi tunapiga sehemu yeyote kwenye watu wenu potential iwe bungeni, polisi, nyumba ya waziri, ikulu n.k ni mbwai mbwai hapo ndipo heshima inakuja.

Nashundwa kuelewa.
1- Israel ina air defense ambazo ni unpenetratable?
2- Hezbollah, Hamas na Iran wanaogopa majibu yatakuwa makali?
3-Au viongozi wa kijeshi Israel na mawaziri wanajificha kwenye mahandaki pia?

Kiukweli hii vita ya kizamani ya kufuata sheria eti kulenga wanajeshi, miundombinu na kulenga miti, Israel imetoka huko zamani.

Wao ni kulenga vichwa tu....
 
Back
Top Bottom