Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Ukitaka kujua Nasurlah ni mwanaume tazama Israel katumia 80 tons kwa ajili yake tu ili wamuwe. Huyu ndio mwanaume afu mashoga wanamsifu Israel . Hao ndio wana akili kweli? kutumia maboom ya 80 tons 😄
 
Ukitaka kujua Nasurlah ni mwanaume tazama Israel katumia 80 tons kwa ajili yake tu ili wamuwe. Huyu ndio mwanaume afu mashoga wanamsifu Israel . Hao ndio wana akili kweli? kutumia maboom ya 80 tons 😄
alikua yuko underground kwenye tunels zao za zege na alikua na mageneral wengine iliku team nzima hapo ungekua ww ungepeleka tons ngapi??
 
alikua yuko underground kwenye tunels zao za zege na alikua na mageneral wengine iliku team nzima hapo ungekua ww ungepeleka tons ngapi??
Ton we uanjua kg ngapi 1000 sa times 80 hapo kg 80,000 hio ndio akili? Si mnasifu maboom ya America yanapenya mpaa chini maboom manne ingetosha kabisa, ikiwa kweli kila boom moja ni 2000 kg au 2 ton yangetosha kupenya na kuangusha jumba. Hapo ndio ujuwe Israel hana hasara anaye kula hasara ni mpiganaji wa kweli USA. Mwambieni atengeneza ton 80 zingine kwa kiongozi mpya 😄
 
Umekuwa muungwana sana Sheikh! Kuukubali ukweli sio udhaifu bali ni ujasiri. Kiukweli IDF wameupiga mwingi this time.
Idf wanaupiga mwingi siku zote. Kumbuka survival ya Israel ni kushinda adui zake.
Tangu mwaka 1948 Israel imekua vitani
 
lebanoni ilivunjwa vunjwa hadi leo imebaki na deni kubwa sana
Vita sio kuvunja majengo vita ni kukamilisha oparesheni husika.
*Israel IDF ilifeli kuokoa mateka wake wanne.
*Israel IDF ilifeli kuweka buffer zone Bint Jubeir.
-Sasa kuvunja kwao magorofa kuliwasaidia nini!??
 
Ton we uanjua kg ngapi 1000 sa times 80 hapo kg 80,000 hio ndio akili? Si mnasifu maboom ya America yanapenya mpaa chini maboom manne ingetosha kabisa, ikiwa kweli kila boom moja ni 2000 kg au 2 ton yangetosha kupenya na kuangusha jumba. Hapo ndio ujuwe Israel hana hasara anaye kula hasara ni mpiganaji wa kweli USA. Mwambieni atengeneza ton 80 zingine kwa kiongozi mpya 😄
Mkuu, hayo mabomu yapo ili yalipuliwe.
 
Kabisa mkuu, wajipange.
Lakini naona waliomuuza Nasrallah ni Lebanese wenyewe haswa upande wa serikali ya Lebanon.

Kuna watu wametumika ku track movement za Nasrallah.
Kosa kubwa la Hezbollah ambalo wanalifanya na bado wanaendelea kulifanya ni kule kutojitambua kwamba wao ni kikundi tu na wapo ndani ya nchi huru na ya kidemokrasia. Wanadhani wao ndo Taifa la Lebanon, wao ndo Serikali,wao ndo wenye maamuzi yote kuhusu mustakabali wa maisha ya watu wa Lebanon. Hilo ni kosa kubwa sana. Hata ungekuwa ni ww and 100 others, mtu anakuwepo nyumbani kwako halafu anajipa mamlaka ya kuamuru nini kifanyike ilhali ww upo hapo utajisikia vibaya sana. Kwa hiyo upande wa Serikali hawafurahishwi na mwenendo wa kundi la Hezbollah. Kwa upande wa wanachi; wanachi wengi hawalipendi kundi hilo kwa sababu limesababisha taharuki kubwa miongoni mwa jamii kwa kuwateka, kuwatesa na kuwapoteza wale wote wanaoonekana au kudhaniwa ni wapinzani.
Kundi la Hezbollah limekaa kibabe sana e.g. Mtu raia akikataa au kuleta ubishi kuhusu nyumba yake kutumika kama ghala la silaha anatupwa gerezani au anafanyiwa mizengwe na kunyang'anywa vitu vingi na hiyo nyumba pamoja.
 
Naona na juzi bwana Netanyau kwenye Baraza la UN ameongea wazi kabisa kwamba safari hii hakuna adui yao yoyote watakaemuacha salama, yaani Kila mtu wanayemjua kwamba ni adui yao lazima watamfikia popote pale alipo na watamfanya kile kinanchomstahili.

Aisee Hawa jamaa wanajiona wao ni ma prince wa hii dunia
Kulikua na ulazima wa kufanya shambulizi la October 7?
 
Wana traitor ndani ya kundi, tena sio mmoja, na shughuli ya kutafuta mchawi it's not easy.

Kama Mossad wana intel za movement ya Nasrallah na makamanda wale wote wa Hezbollah, si la kushangaza wakawa wanafahamu silaha zao zilipo.
Ndege mbili za kijasusi za USA zilikuwepo anga la lebanon kuanzia 1700-1930hrs, nasrallah aliuawa 1830,hazikuwahi kuwepo hapo ila jana tu muda huo na zikaondoka,israel ni mtu anayetumiwa tu kwenda kupiga waandamanaji
 
Kuna majususi wa Israel ndani ya Hizbullah!

Wakati huu ni mgumu sana kwa Hizbullah kufanya chochote. Hali inaonekana wapo uchi kwa Israel. Kwa sasa watulie wapange tena safu yao upya.

Ila nimeumia aisee!
Umeumia gaidi kuuwawa?! Pole sana
 
Haikuanza oktoba 7,soma vyanzo tifaina vya israel
Mashambulizi yote ya nyuma hayakumpa Israel uhalali wa kufanya hiki anachofanya sasa. Lile lilikua ni bab kubwa na kama lingefaulu asilimia 100 kusingekuwa na taifa la Israel leo hii.
 
Mungu hawez geuka maneno yake yeye mwenyewe ,Mungu sio kigeu geu ,tangu enzi za Ibrahim,isaka na yakobo aliwapa ahadi ya kulaani watakao walaani na kiwabarik watakao wabariki,,hivyo upande wangu Kwa kuegemea Imani yangu iloonuesha kabsaa Kuna jitu litapigika
Hapa umeingia mkenge.
 
Mimi vichembe chembe vya machozi vimenitoka.

Nafikiri hata Jf sitoingia kwa muda na kashfa za watu wengineo juu yake nitaumia zaidi.

Imeniuma sana yaani!
Kipigo kimewachanganya maustaazi mmepoteana.
Poleni sana.
Na bado myahudi ndio kwanza ameanza kusafisha magaidi hapo Middle East
 
Ukitaka kujua Nasurlah ni mwanaume tazama Israel katumia 80 tons kwa ajili yake tu ili wamuwe. Huyu ndio mwanaume afu mashoga wanamsifu Israel . Hao ndio wana akili kweli? kutumia maboom ya 80 tons 😄
mwanaume anajificha kama panya acha ukenge kazi wanayo weza ni kijificha kwa raia na watoto *****..
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Kuna mtu aliitwa Eli Cohen, hadi sasa Syria hawataki kusikia hata jina lake, wakafanya hadi asiwe na kaburi. Huyu alikuwa ni jasusi wa Israel akitajwa ndiye jasusi bora.

Yeye alifanya ujasusi ndani ya Syria kati ya 1961 na 1965, kwa mbinu za medani alifanikiwa kujenga uhusiano wa karibu na uongozi wa kisiasa na kijeshi wa Syria, kwa miaka minne.

Labda niseme Israel inafanikiwa sana kwa ujasusi, kwa kuwa huenda wana majasusi jasiri sana. Kufanya ujasusi kwa nchi adui namba moja wa nchi yako, na ujasiri. Tena kwa miake minne.

Kuna namna Eli Cohen aliingia Syria pamoja na namna alivyofanya kazi, utapenda. Siku moja nitaieleza hapa panapo majaaliwa.

Ova
 
Back
Top Bottom