Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Unajua we jamaa umeongea trivial point aisee!?
Kwako wewe ndio utaona trivial maana ni timu moja na ajuza.
Unawez kwenda kusoma na kuishi Ukraine!?
Wapo watanzania wamesoma Ukraine , Hungary , Romania na kadhalika.
Yani unataja mataifa ambayo yana vita na masikini!?
Hujaelewa context ya nilichoandika hivyo ungeuliza.
Angalau ungemtajia Brunei, Indonesia na Malaysia ningekuelewa.
Hayo ni machaguo yako mimi nimeuliza Somalia na Palestina.
 
Wewe ni timu ile ile mimi huwa sina muda siku hizi kufanya majadiliano na watu wa aina yenu .

Huwezi kuukubali ukweli awamu ya Magufuli huyo bibi alipotea jukwaani humu mpaka akawa anauliziwa hadi Magufuli alipokufa ndio akaibuka tena anazijua sababu za kupotea jukwaani humu.

Mimi sijawahi kuukubali utawala wa dikteta uchwara Magufuli na kwa mtindo huu wa kubadili mada husika siwezi kufanya majadiliano na walevi wa dini yoyote.
Naona unafikria kwa kutumia makalio , swali ni wapi kawaita makafiri?

Unatetemeka 😀 😀 😀
 
Kwako wewe ndio utaona trivial maana ni timu moja na ajuza.
Bado unaongea ujuha vile vile kuupa ithibati ujuha wako.
Wapo watanzania wamesoma Ukraine , Hungary , Romania na kadhalika.
Hata huelewi nini nimemaanisha kwa kutoa huo mfano.Sasa hivi unaweza kumwambia mtu aende Ukraine kusoma sasa hivi!??
Labda utakua unaugua.
Hujaelewa context ya nilichoandika hivyo ungeuliza.
Huna context zaidi ya ujuha.
Hayo ni machaguo yako mimi nimeuliza Somalia na Palestina.
Somalia na Palestina zinafanana kihadhi na Canada!??
Hata maana ya kuoanisha unajua kweli!??
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
MOSSAD na IDF walianza assiggnment yao Baada tu ya 2006.
 
Kw
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Kwani wakiuliwa si ndo raha kwao au? Au ww ndugu yangu hujawahi kubikiri?
 
Hili ni pigo kubwa sana.
Naskia jamaa anasema wametangaza vita.
Japo mimi sishauri,huu uwanja umeshainama aisee tena pakubwa saaanaaa.
Kuna majususi wa Israel ndani ya Hizbullah!

Wakati huu ni mgumu sana kwa Hizbullah kufanya chochote. Hali inaonekana wapo uchi kwa Israel. Kwa sasa watulie wapange tena safu yao upya.

Ila nimeumia aisee!
 
Mkuu kwa mara hii nimekubali mossad wana intelligence kubwa. Mimi siku zote naunga mkono Iran, Hezbollah, Hamas katika kuitetea palestina.
Ila toka hawa jamaa wapige tukio ndani ya Iran wakamuua kamanda wa hamas, wakalipua zile pagers, now wamemuua kiongozi wa Hezbollah, nimeamini hawa jamaa wamejipenyeza ndani kabisa. Nahisi wanamsubiri Iran ajichanganye naye wapige ndani kabisa ya Iran.
Hezbollah anapaswa kurudi kwenye hatua ya kwanza huenda anaokaa nao mezani ni ma-double agent.
Tangu zamani kitu kinachoshindisha vita ni ujasusi. Kwenye vita anayeshinda ni yule anayeweza kupenyeza majasusi kwenye ngome ya adui. Inaonekana kabisa Israel imepenyeza majasusi ndani ya Hezbollah na wanajua kila kitu kinachopangwa na nyendo za viongozi wao.
 
Kabisa mkuu, wajipange.
Lakini naona waliomuuza Nasrallah ni Lebanese wenyewe haswa upande wa serikali ya Lebanon.

Kuna watu wametumika ku track movement za Nasrallah.
Ndio maana halisi ya inteligence hiyo mzee baba. Kwakifupi isarel wamejaa pale mashariki ya kati koooote. Kwenye kila uongozi wa nchi zoote jamaa wapo sema tu wana delay kufanya yao.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
hivi ndivyo Mossad walivyoiangamiza Black september 1972 kama unakumbuka. Mossad walichinja viongozi wakuu tuu mpaka akakia kuruti ambaye alikimbilia Algeria na huko huko akauwawa.Naslalalh hivi sasa uso kwa uso na mungu wa Abraham kesi ya mauaji . adhabu yake watu hawa hurudishwa duniani na kugeuzwa nyoka wenye sumu kali huku wakinusa uchafu wote uliopo ardhini! Angalia sana adhabu ya kuuwa ni mbaya sana usiuwe hata kwa mshahala wakutumwa!
 
Back
Top Bottom