Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Mossad wapo vizuri kwenye intelijensia

Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Mpaka leo unaenda mwaka hawajui mateka wao walipo😅
 
Kwan
Wana traitor ndani ya kundi, tena sio mmoja, na shughuli ya kutafuta mchawi it's not easy.

Kama Mossad wana intel za movement ya Nasrallah na makamanda wale wote wa Hezbollah, si la kushangaza wakawa wanafahamu silaha zao zilipo.
Kwan wangapi jana wameaga dunia kwa lile bomu? Maana media zote zimekalia nassra tu wengine hawatajwi
 
Kabisa mkuu, wajipange.
Lakini naona waliomuuza Nasrallah ni Lebanese wenyewe haswa upande wa serikali ya Lebanon.

Kuna watu wametumika ku track movement za Nasrallah.
Tatizo kila wakijipanga wanashindwa sababu mosad wanatumia wameajili waarabu wengi sana wanaowafanyia kazi za kutoa taarifa katika shirika lao.
Angalia kikao cha jana kimeteketeza hao wote ktk.picha
 

Attachments

  • Screenshot_20240928_202441_X.jpg
    Screenshot_20240928_202441_X.jpg
    250 KB · Views: 2
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
"By way of deception you shall engage in war." Mossad motto
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Haka kamchezo ka kugonga kwenye kichwa ni kapya, Israel hajawahi tumia kabla.

Leo Ayatollah wamemficha kusikojulikana wakihofia usalama wake namna ambavyo Israel imeonesha wanavyoweza kumfikia kiongozi yeyote mahali popote alipo bila kujali kakingwa na nini.
 
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.

Kiukweli sidhani kama Hezbollah inaweza kupambana tena na Israel.

Hezbollah itulie tu, hii vita wamekwisha shindwa vibaya.

Mimi kama mdau niliyekuwa mchangiaji mkubwa wa nyuzi za kuikubali Hezbollah hapa jamiiforums, nakiri kwamba Mossad ni next level, wametisha kwa hili....

Hezbollah watulie tu, hii vita hawaiwezi.
Bado nina imani na Mugawama, Nasrullah ndie alieifanya Hisbullah ipigane kwa kusitasita, alijizuia kuingia vitani na Israel, hivi sasa ndio Vita inaanza rasmi.
 
Mungu kumbe anabariki mashoga!??
Hiyo ni vita kijana usiingize udini.
*2006 Israel alipigwa na huyu huyu Hizbollah akiongozwa na huyu huyu Hassan Nasrallah aliyeuawa.
*1973 Israel ilipigwa na Egypt Sinai Peninsula.Huyo Mungu wako mbariki wa mashoga alikua wapi??

*Hii ni vita kuwahiana ni jambo la lazima.
🤣🤣🤣 lini bana israel alipigwa na hizbula?
 
Wacha tuone ni nini kitafuata.
Kwasasa sina cha kusema ni kusubiri muda uamue.
Japo nikiri kuwa Mossad kwa awamu hii ameupiga mwingi ninyooshe mikono kwa sasa🙌🙌🙌🙌🙌🙌.
Wacha tuone nini kifuatacho.
Hawana lolote hao kule Lebanon wako mashoga wa kikristo hao ni pesa tu si ajabu wako waislam majina pia kwenye cabinet ya Hezbullah wamepewa 50 million waka toa siri, ndio mana kafanikiwa. Tofouti na kule Gaza kule wako wanafiki lakini nje ya Hamas.
 
Shida ya Mhayudi ata awe Chotara ile sprit iko ndani ndani kabisa anaweza Kuwa kwenye team na akaonesha Uloyalist wa hali ya Juu sana, Ila kumbe ni Nyoka anavizia tu time ifike aume ukiangalia Hio Intel ya Movement ya Nasrallah Na Top chain Commanders kuwa exposed ni Intel ya Juu sana imetumika
 
Back
Top Bottom