Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Provide the source of the habari please!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha taarifa hii ni kipi?; infact, kijasusi, hii ni moja ya taarifa ambayo ni ngumu kuipata. Kwa uhalisia, kazi kama hii inapotekelezwa ni vigumu hata walioko ndani kujua kama mwenzao amekuwa assasinated kwa sababu amshindwa kutekeleza jukumu. Taarifa hii inatia mashaka mengiMOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran
Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.
Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.
Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.
Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani
View attachment 2392964
Na mimi ndiyo najiuliza. Yaani walinzi wa Iran wamekamata majasusi wa Israel halafu wakaendelea kupuuza ulinzi mpaka muda wa mahojiano. Ina maana Iran haijitambui kabisa!Kwahiyo wamewaua wakiwa chini ya ulinzi wa iran?
Habari sensitive namna hiyo haiwezi kuja kirahisi hivyo, hapo kuna mambo matatu; either kuna further information zinatafutwa au ni zuga ili watekeleze mission fulani or else habari ni from invalid sourcesMOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran
Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.
Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.
Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.
Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani
View attachment 2392964
MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran
Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.
Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.
Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.
Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani
View attachment 2392964
Wayahudi hawali nguruweWala nguruwe kazi ipo! Mshaanza kuuawana huko! Wayahudi waliolaaniwa
Subiri Mayahudi wa Nzega waje hapa utaona comment zao za kujifariji,mara sio kweli,utaambiwa ni chai...ili mradi tu wajifariji.
Wameanza kuuwana wao kwa wao, na badoo, laanatullah alayhim.
Mwisho wao utakua mbaya sana, laana inaendelea kuwatesa..
God bless Palestina
Ila kati ya kazi ngumu zilizopo hata duniani; hii pia inaweza kuwa ni mojawapo. Kwanza kile kitendo cha kutakiwa kuwa SMART muda wote ni kazi ngumu sana. Kwa sababu ukiteleza kidogo tu you are gone halafu muda huo huo wenzako wanakuwa hawakujui, na wanaendlelea kula bata tu. Kweli kazi ngumu duniani zipo!MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran
Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.
Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.
Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.
Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani
View attachment 2392964
muwaqwama newspaper. mleta mada huwa analeta vichekesho almost dailyProvide the source of the habari please!
Ndiyo inavyokuwaga hivyo,huwa hawasemi kweli huko idara nyeti,utasikia ajali dumila,kumbe mtu kala bombaUongo
Picha zilizotumika jaribu google search hiyo image uone itakuletea nini
View attachment 2395210
Hizo ni ndoto za mwendawazimu endelea kuota!!!
Wavaa madela nao wamehamia kufuga nguruweWala nguruwe kazi ipo! Mshaanza kuuawana huko! Wayahudi waliolaaniwa