MOSSAD yawaua maofisa wake sita kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

MOSSAD yawaua maofisa wake sita kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

Mwongo Mwongo na wewe mtoa hoja ni mwongo mkubwa, bila shaka umekulia kwenye malezi ya UUongona utatuletea familia ya uongo, mossad wameingia hapo Malaysia 🇲🇾 na kulala mbele na member wa kipalestina, hii ndio habari mpya hapo middle east, drones za iran, protests za iran kuhusiana ni hijabs,acha uongo
 
MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.

Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.

Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.

Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani

View attachment 2392964
Chanzo cha taarifa hii ni kipi?; infact, kijasusi, hii ni moja ya taarifa ambayo ni ngumu kuipata. Kwa uhalisia, kazi kama hii inapotekelezwa ni vigumu hata walioko ndani kujua kama mwenzao amekuwa assasinated kwa sababu amshindwa kutekeleza jukumu. Taarifa hii inatia mashaka mengi
 
MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.

Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.

Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.

Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani

View attachment 2392964
Habari sensitive namna hiyo haiwezi kuja kirahisi hivyo, hapo kuna mambo matatu; either kuna further information zinatafutwa au ni zuga ili watekeleze mission fulani or else habari ni from invalid sources
 
MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.

Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.

Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.

Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani

View attachment 2392964

Wameanza kuuwana wao kwa wao, na badoo, laanatullah alayhim.
Mwisho wao utakua mbaya sana, laana inaendelea kuwatesa..


God bless Palestina
 
Uongo
Picha zilizotumika jaribu google search hiyo image uone itakuletea nini
IMG_20221023_093726.jpg
 
Wameanza kuuwana wao kwa wao, na badoo, laanatullah alayhim.
Mwisho wao utakua mbaya sana, laana inaendelea kuwatesa..


God bless Palestina

Hizo ni ndoto za mwendawazimu endelea kuota!!!
 
MOSSAD imeua maafisa wake sita wa intelijensia kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na Iran

Utawala wa Israel umewaua maafisa wake sita muhimu kufuatia kufeli operesheni ya shirika lake la ujasusi Mossad ya kufanya hujuma na uharibifu kwenye kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan nchini Iran.

Maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad walipanga kuripua kituo kimoja cha viwanda mkoani Esfahan, lakini walikamatwa na wizara ya intelijensia ya Iran kabla ya kutekeleza operesheni yao hiyo.

Mossad, ambayo ilihisi kufichuliwa kwa operesheni yake hiyo tata ya hujuma ni pigo na kashfa kubwa kwake, iliona kwa dhana yake, ili kuzuia kupenya vyombo vya usalama vya Iran ndani ya shirika hilo, haina budi kuwaangamiza maafisa hao wote ili pengine iweze kuwalinda maajenti wake wengine waliosalia na kuendeleza mawasiliano nao.

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Tasnim, kufuatia operesheni tata ya usalama ya Mossad ya kutaka kuhujumu kituo kimoja cha viwanda cha Esfahan, iliyopelekea kukamatwa watekelezaji wake wote na wizara ya intelijensia ya Iran, mbali na kumtimua afisa wake anayehusika na kitengo cha Iran, shirika la ujasusi la utawala huo liliwaondoa pia maafisa wake sita muhimu wa kitengo hicho kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na vikosi vya usalama vya Iran na baadaye kuwaua kwa sura tofauti.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, utawala wa Israel umethibitisha kuuliwa watu hao sita wakati walipokuwa wakihojiwa na ambao majina yao ni Tomer Ixeg, Ayalon Shapira, Sharon Small, Shayli Westland, Ofek Aharon na Itamar Al-Harar.

Ripoti hiyo imeongeza kuwa, maafisa wengine kadhaa wa Kiisrael wameuliwa na kitengo cha kupambana na ujasusi cha Mossad kwa njia tofauti, ikiwa ni pamoja na matukio ya ajali ya gari, lakini idadi yao halisi na hatima hasa iliyowafika haijulikani

View attachment 2392964
Ila kati ya kazi ngumu zilizopo hata duniani; hii pia inaweza kuwa ni mojawapo. Kwanza kile kitendo cha kutakiwa kuwa SMART muda wote ni kazi ngumu sana. Kwa sababu ukiteleza kidogo tu you are gone halafu muda huo huo wenzako wanakuwa hawakujui, na wanaendlelea kula bata tu. Kweli kazi ngumu duniani zipo!
 
Back
Top Bottom