Most expensive schools in Tanzania

Dhambi sana! Ngoja nikomae kutafuta hela hata mjukuu mmoja ntamtupa huko kama kwa watoto imeshindikana [emoji24].
 
Ndo unajifariji ivo sio.....poleeee
 
Nilishawai kwenda kumuulizia Dogo ....maana alikuwa anasoma urusii sasa akarudi bongo kabla hajamaliza ..tukaenda kuangalia mtaara wao .....daah ebwana watoto wanapelekwa na range au v8 ...schools bus zao sasa daaah ....ila wapo watoto wa kibongo nao wanasomaa
 
Mkuu inaonekana kuandika Kiswahili ni mtihani. Naomba uandike kwa kutumia ile lugha ya Malkia.
 
Alafu akimaliza shule Kazi basic salary laki NNE,unazidiwa kipato hata na muuza machungwa wa city center. Akitoka huko anasotea job nae
 
Alafu akimaliza shule Kazi basic salary laki NNE,unazidiwa kipato hata na muuza machungwa wa city center. Akitoka huko anasotea job nae
MTU anaelipa ada 65 million per year hawezi kuajiliwa akapewa laki 4.......kuna watu wanalipwa milion 16 per month ....kwnza mshahara ni makubaliano unaweza kukataa [emoji120] sema shida zetu wabongo unalipwa laki 4 afu bado unawaza kuoa
 
Ndizo shule zinazoongoza kwa kufuga mipunga na michele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…