Most expensive schools in Tanzania

Hata wewe hutakubali kuona motto wako aliyekuwa na malezi bora karudi likizo nyumbani na kiingereza kizuri ila ni teja.
Mleee mtoto katika njia impasayo naye hatooacha hata atakapo kuwa Mzee. Ukikimbia jukumu la kumlea mwanao, shetani atakusaidia kumlea. Mfundishe mwanao kuisikia sauti ya Mungu Na kuitii.
Mfundishe mtoto kuwa Na adabu usimfundishe nidhamu ya woga
 
Dah! Ila wakija vyuo tunakutana hukuhuku UDOM, UDSM nk. Alafu tuliosoma Kayumba tunawachachafya
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu unanichekesha saana.

Kweli una maono hasi kuhusu hizi shule.
ha ha ha kuna mtoto wa ndugu yangu ananiuma sana yupo sasa sober house kwani alianza kwenye hizi shule kuanzia kindergareten kidogo kidogo akajifunza kula unga na alipofika sekondari lugha ilikuwa nzuri ila tabia ni sifuri.wazee wake wametumia hela nyingi shuleni na sasa wanatumia hela kumlipia gharama ya sober house
 
Somehow lakini wengi wao huwa wanakuwa ma-lazzy linapokuja suala zima la kukabiliana na changamoto ktk fields za maisha.
 
nimekuelewa sana mkuu,kula 5 kwa mbaali. income mtu unayopata miaka kumi mwngne ni chenji ya miez kadhaa..
 
Alikuwa shule gani?

mbona huku vingnguti kuna wala unga wengi ila hawajasoma Tanganyika mkuu.

ni mtoto tu na malezi yake ingekuwa shule basi wengi wa wanaosoma wangekuwa mateja.
 
mazingira yanachangia pia.ila huyu kaenda shuleni mdogo sana kwahiyo muda mwingi kakulia shuleni
Alikuwa shule gani?

mbona huku vingnguti kuna wala unga wengi ila hawajasoma Tanganyika mkuu.

ni mtoto tu na malezi yake sio shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…