#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

Hebu watuache kwanza, tukisha anua tanga, tukachagua makamu wa raisi, tutawasikiliza, besides tumeshajenda mashine za kujifukiza, na kumuenzi mwendazake tutazifunga tokea Kibondo hadi Ushirombo mpaka Nkasi mpaka Nanjilinji kila zahanati.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu

Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Ww ambaye huamini uwepo wa Sir Godi...
unaamini propaganda za covid za kufikirika
 
Sio korona ni magonjwa mengine ya kibinadamu tu,hata wewe unaweza ukaumwa kichwa tu ukafa mtaani kwako wakaanza kudai korona imekuua

Hata kama nimepata mafua makali, homa, nikabanwa mbavu, nikashindwa kupumua, serikali ikakomaa hakuna kumpima kama ni corona, labda nikafa kimya kimya bila kusikika kuwa nilikuwa hata naumwa, nk? Bado unao waita wa mtaani watakuwa tu wanamadai ya hovyo kama hayo?

HayatI jiwe aliwahi kusema watanzania si wajinga kihivyo.

Hautakuwa na biashara za majeneza, sanda au kusafirisha maiti wewe?

Mshindwe na mtepete!
 
Mficha maradhi kifo humuumbua.Natabiri kuwa hata yeye atakufa kwa Corona kama ataendelea kuipuuzia Corona.Corona ina utaratibu wake wa ajabu sana, ina wivu na inapenda kutawala. Ukikataa kuidhibiti ni lazima ikutawale.It started in Burundi!

Mambo mengine ni wazi kama kutabiri kesho itakuwa jumapili.
 
We hufi sio?
Wapi nimesema kuwa sifi?Kwani kama Hawa anafanya uzembe wa wazi kabisa ambao unaonyesha kabisa kuwa unaweza kumuua asiambiwe kuwa atakufa?Mtu akiona ukiwa umevaa hiyo kaunda ya mwalimu hapo kwenye avatar yako anaweza kufikiri kuwa kichwani una akili lakini kumbe ni debe tupu!
 
Mabeberu bhana..., wanatutia pressure weeeeeeeeeeeeeee, yaan utafikiri tuliwaibia nini sijui, tuacheni jamaniiiii, hatutaki hizo chanjo, tuacheni bhana..., aghhh
Siku zaja utaomba chanjo bila shuruti ndiyo utajua kuwa hujui!
 
Sasa umeona kuna mtu kafa kwa corona au kaambukizwa korona?
 
nyie endeleeni kupuuza tu kila mtu atakufa kivyake
 
Tunapigwa kwa ajili ya mtu mmoja tu. Taifa la watu mil60 linashambuliwa kwa ukaidi wa mtu mmoja?
Mtusamehe basi si ameshàondoka jamani? Ahh!
 
Wanasahau africa tuna malaria, kifua kikuu ukimwi etc.. na watu wanakufa na kuambukizana zaid ya hyo korona

Hatukai ndani ng'oo
 
Hatupambani na Corona kwa namna yoyote ile.Tuache kuongopa. Corona haijaleta madhara makubwa tu hapa kwetu
Hawa watu watatoa story zote ili mradi mpokee tu chanjo ya Corona...hatuja ignore Corona ila tumetumia namna yetu kupambana nayo na ndicho wasichokitaka
 
Unasema walikuwa na Afya wakati unaona watatu kati yao ni vibonge kupitiliza, mmoja alikuwa na tatizo la moyo la muda mrefu na hapo hatujajua kama walikuwa na sukari, presha n.k kuongezea juu ya uzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…