Ww ambaye huamini uwepo wa Sir Godi...Kuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu
Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Atakufa au mtamfanyia hujuma ionekane ni Corona?Mficha maradhi kifo humuumbua.Natabiri kuwa hata yeye atakufa kwa Corona kama ataendelea kuipuuzia Corona.Corona ina utaratibu wake wa ajabu sana, ina wivu na inapenda kutawala. Ukikataa kuidhibiti ni lazima ikutawale.It started in Burundi!
Sio korona ni magonjwa mengine ya kibinadamu tu,hata wewe unaweza ukaumwa kichwa tu ukafa mtaani kwako wakaanza kudai korona imekuua
Mficha maradhi kifo humuumbua.Natabiri kuwa hata yeye atakufa kwa Corona kama ataendelea kuipuuzia Corona.Corona ina utaratibu wake wa ajabu sana, ina wivu na inapenda kutawala. Ukikataa kuidhibiti ni lazima ikutawale.It started in Burundi!
🤣🤣🤣Mambo mengine ni wazi kama kutabiri kesho itakuwa jumapili.
Wapi nimesema kuwa sifi?Kwani kama Hawa anafanya uzembe wa wazi kabisa ambao unaonyesha kabisa kuwa unaweza kumuua asiambiwe kuwa atakufa?Mtu akiona ukiwa umevaa hiyo kaunda ya mwalimu hapo kwenye avatar yako anaweza kufikiri kuwa kichwani una akili lakini kumbe ni debe tupu!We hufi sio?
Siku zaja utaomba chanjo bila shuruti ndiyo utajua kuwa hujui!Mabeberu bhana..., wanatutia pressure weeeeeeeeeeeeeee, yaan utafikiri tuliwaibia nini sijui, tuacheni jamaniiiii, hatutaki hizo chanjo, tuacheni bhana..., aghhh
Mtu akiona ukiwa umevaa hiyo kaunda ya mwalimu hapo kwenye avatar yako anaweza kufikiri kuwa kichwani una akili lakini kumbe ni debe tupu!
Wewe ni Medical Personnel au ni epidemiologist au ni Mganga wa Kienyeji?Siku zaja utaomba chanjo bila shuruti ndiyo utajua kuwa hujui!
Mimi ni nabiiWewe ni Medical Personnel au ni epidemiologist au ni Mganga wa Kienyeji?
Utaanza wewe na bibi yako, pumbavuNa mrundikano ule. Watu watakufa kama bata.
Sasa umeona kuna mtu kafa kwa corona au kaambukizwa korona?Tanzania imetoa mutations ya Covid-19 virus ambayo ina mabadiliko na nguvu mara kumi ya mutations za kirusi hiki ambazo ziliwahi kutokea duniani. Imagine mkusanyiko wa kumzika Magufuli uliofanyika wiki hii bila ya kuchukua tahadhari yoyote ile![emoji124][emoji124][emoji124]
Hawa watu watatoa story zote ili mradi mpokee tu chanjo ya Corona...hatuja ignore Corona ila tumetumia namna yetu kupambana nayo na ndicho wasichokitaka
Za kuambiwa changanya na za kwako:
View attachment 1735257
Hiyo miamba ilikuwa buheri wa afya.
Mmoja wao push-up sana majukwaani achilia mbali nyakua nyakua.
Unaambiwa alikuwa na afya hati hati leo?
Hao mtu wote wenye afya na nafasi zao ni deportivo la coruna peke yake mwenye ujasiri wa kuangusha miamba kama hiyo kwenye span ya mwaka mmoja robot tatu yao ndani ya mwezi mmoja!
Au nasema uongo ndugu zangu?