#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

US na UK pia wanaweza kutoa mutations zao. Sayansi ina safari mrefu sana kumaliza hili tatizo
Sawa. Angalau wenzetu wanapima na kuwapa wananchi wao chanjo. Mutationnikitokea wanaiona mapema, wanaiwahi kuitafutia dawa na chanjo.

Sisi hatupimi, hatu isolate, hatuwapi watu chanjo, mutation kuonekana mpaka Watanzania wasafiri wapimwe nje huko!
 
Sio kweli corona imetuamsha na kuzikumbuka taasisi zetu zilizokua zikideal na tiba asili, wengi tulikua hatuijui NIMR ila imepewa support na kwa muda mfupi imetengeneza dawa COVIDO ambayo imefanya vizuri sana. Hata kama juhud zetu sio kubwa kama hao wengine ni kutokana na ukweli kuwa kama ulivyosema " Corona haijaleta madhara makubwa hapa kwetu" sasa kwa nn tupangiwe ya kufanya na mataifa mengine
Hiyo COVIDO imejaribiwa wapi na lini katika kutibu Corona?Ilionyesha mafanikio ya asilimia ngapi?
 
mafitna haya mkuu yani maisha yako mazuri huku Tanzania kuliko mnavyoaminishwa huko na mabeberu alafu wewe ni learned brother sikutegemea kama utayumbishwa na propaganda
Kwanza kabisa usitegemee chochote kutoka kwangu kwa fikra zako kwamba mimi ni "learned brother". Naomba unitoe katika hiyo list yako, kwa sababu siku yoyote nina uwezo mkubwa wa kukushangaza kwa kuandika kitu ambacho hujategemea halafu ukasema "huyu learned brother kasemaje hivi"?

Naomba uniachie uhuru wangu kwa kunitoa katika list hiyo.

Kwenye hoja zako.

Magufuli naye alisema hivyo hivyo kwamba ugonjwa huu unapazwa kwa propaganda. Kafyekelewa mbali.

Wewe unaweza kutamba hivyo kwa sababu labda ni kijana na huna magonjwa kama hayo ya moyo, kisukari etc. Ukiwa mzee na una magonjwa hayo Covid-19 inaua sana.

Kama hujali maisha yako, jali maisha ya watu wanaokuzunguka ambao wanaweza kuwa na matatizo ya afya.

Dr. Mahiga kafariki, Maalim Seif kafariki, Balozi Kijazi kafariki, Magufuli kafariki, hao viongozi wakubwa tu wanaojulikana. Bado wewe unasema huu ugonjwa ni propaganda?

Sasa wewe ama ni mjinga hujui hilo, ama ni mbinafsi hujali.

Yote mawili ni majanga.
 
Corona huwa ni mzaa mzaa hivi hivi mpaka siku unasikia uzito kifuani hewa haiingii wala kutoka ndo unaelewa kuwa hili dubwasha ni hatari.
 
Corona huwa ni mzaa mzaa hivi hivi mpaka siku unasikia uzito kifuani hewa haiingii wala kutoka ndo unaelewa kuwa hili dubwasha ni hatari.
We mpaka Tingatinga limekutana na meli ya sumu mfereji wa Suez limeishindwa unafikiri mchezo?

Magufuli tumemzika kama utani.
 
eti leo corona ya kutoka tanzania imejipanga zaidi[emoji16][emoji16][emoji16].

kama matoleo ya tecno vile,wakati unatumia ukisikilizia utamu wake kesho kuna nyinyine inatangazwa.
Eti sisi tuna toleo Kali zaidi la corona lenye prosesa yenye nguvu Mara kumi zaidi ya ile ya china.
Utasikia astra zaneca wana chanjo yake muda si mrefu.
 
Sawa. Angalau wenzetu wanapima na kuwapa wananchi wao chanjo. Mutationnikitokea wanaiona mapema, wanaiwahi kuitafutia dawa na chanjo.

Sisi hatupimi, hatu isolate, hatuwapi watu chanjo, mutation kuonekana mpaka Watanzania wasafiri wapimwe nje huko!

We need to start emphasising the importance of taking precautions.
Haya mengine kama mutations ya virus ni ngumu sana kusema lolote kwa sasa.
Terrible, Brazil imepigwa kweli kweli na Corona. I hope hawaendeshi mambo kama tunavyofanya
 
By Antony Sguazzin, 26 March 2021, 17:34 EAT

The most mutated variant of the coronavirus yet was found in travelers from Tanzania, prompting scientists to call for greater monitoring in a country that has largely ignored the pandemic.

A report submitted to the World Health Organization and regional bodies shows the strain has 10 more mutations than found on any other version, according to Tulio de Oliveira, director of Krisp, a scientific institute that carries out genetic testing for 10 African nations. Krisp, which discovered a new strain in South Africa last year that propelled a resurgence of infections in the country, found the new variant in travelers arriving in Angola from Tanzania.

“It is potentially of interest,” de Oliveira said in an interview on Friday.

Variants of the coronavirus have caused concern globally as, for instance, the one first identified in South Africa known as 501Y.V2 has proven more infectious and able to more easily evade some vaccines. Still, no work has been done yet on the version found in three Tanzanian travelers to ascertain whether it is more infectious or severe than other strains.

The newly discovered version will be grown at laboratories at Krisp and an attempt will be made to ascertain how easily it evades antibodies, de Oliveira said. The variant comes from a lineage of the virus first identified in China, whereas many others trace their roots to Europe.

Under recently decesased President John Magufuli, Tanzania stopped releasing data on coronavirus infections and opened up the economy including the resort island of Zanzibar, which attracts international tourists. Magufuli’s stance attracted criticism from neighbors and the WHO as anecdotal evidence suggested many people in the country have contracted the disease.

His successor, Samia Suluhu Hassan, has yet to indicate whether she will change his policies.

“This may be a big wake up call to Tanzania,” de Oliveira said.

Source: Most Mutated Covid-19 Variant Yet Found in Tanzania Travelers and Covid variant with most mutations discovered in Tanzania travellers

Let discuss this scientifically, je hata tungefuata WHO instructions kusingetokea virus mutation?
 
Hakuna mahalo ilipoandikwa kuwa hii covid mutant eti ina nguvu mara kumi. Hakuna research iliyosema hivyo.
Pia hakuna research iliyosema variant hii ipo resistant kwa vaccine.

Subirini, it can be less harmful or even not harmful. Not saying that it won't be harmful.

Watanzania kwa ujumla tupo nyuma sana kisayansi. Tupende tusipende, kwa sababu tupo nyuma sana kisanaa.
 
Hata Kama hazitumiki what if zingekuwa zinatumika je zingefaa akati unaambiwa kirus kimefanya mutation
Kirusi kimefanya mutations 10, kwa sababu kimeachiwa tu kitapakae, nchi haipimi watu, hai isolate watu, hai chanji watu.

Nchi ingekuwa inapima watu, ina isolate watu na inchnja watu, kirusi kingekuwa controled, na hata mutations zingeonekana na kukabiliwa mapema si kutegemea watu wanaosafiri na kupimwa nje ya Tanzania.

Tumekumbatia ujinga.
 
Let discuss this scientifically, je hata tungefuata WHO instructions kusingetokea virus mutation?
Virus wa Corona huwa wanafanya mutations muda wowote ule na popote pale lakini huwa wanapata wasaa pamoja na uwanja mpana zaidi wa kufanya mutations kama wakiachwa huru bila ya kupigwa vita.Hii maana yake ni kwamba kama hapa Tanzania tungewapiga vita kama vile kupiga watu chanjo na kuwapiga vita katika kutumia njia nyingine za kuzuia wasienee kwa wingi pia mutations ingekuwepo ila siyo hiyo kubwa ya mara kumi,ingekuwepo mutation ndogo mfano ya mara mbili,tatu au nne.
 
Back
Top Bottom