Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Ndiyo maana nakwambia unajitoa tu ufahamu.Nafikiri inahitaji mwelewa kunielewa, kuvaa barakoa nikitu kingine na virus mutation nikitu kingine as long as virus tayari alishatokea na yupo nafikiri sasa hakuna nchi ambayo hakuna corrona swala la kuwa 10 times mutated lilikuwa niswala la muda tuu.
Hata hizo instructions za WHO ukizifuata bado utapata corrona zipo nchi zilizokuwa mstari wa mbele kuzifuata na zimekuwa affect more than us.
Ulichokisema nikuwa tusingeruhusu maambukizi kabisa which its something impossible. Huja justify WHO instruction na 10 times mutated virus aliepatikanika Tz.
Unasema kuna nchi zimefuata taratibu na bado zimekuwa affected more si ungezitaja?
Huu ndiyo ukweli kuhusu mutations za covid.
Hutokea zaidi kwenye nchi zilizofungua mipaka, au during easing of restrictions.
Suggesting that mutations happens more when the population of the virus is high. Hii ipo hata kwenye HIV.
Significance of mutant genes is directly proportional to the size of the gene pool.
Once you reduce the size/number, mutant genes tend to disappear. But with increased population, they can even lead to speciation.
Hiyo ni unbiased science, very simple.