#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

#COVID19 Most Mutated COVID-19 Variant yet found in Tanzania travelers

Nafikiri inahitaji mwelewa kunielewa, kuvaa barakoa nikitu kingine na virus mutation nikitu kingine as long as virus tayari alishatokea na yupo nafikiri sasa hakuna nchi ambayo hakuna corrona swala la kuwa 10 times mutated lilikuwa niswala la muda tuu.

Hata hizo instructions za WHO ukizifuata bado utapata corrona zipo nchi zilizokuwa mstari wa mbele kuzifuata na zimekuwa affect more than us.

Ulichokisema nikuwa tusingeruhusu maambukizi kabisa which its something impossible. Huja justify WHO instruction na 10 times mutated virus aliepatikanika Tz.
Ndiyo maana nakwambia unajitoa tu ufahamu.
Unasema kuna nchi zimefuata taratibu na bado zimekuwa affected more si ungezitaja?
Huu ndiyo ukweli kuhusu mutations za covid.
Hutokea zaidi kwenye nchi zilizofungua mipaka, au during easing of restrictions.
Suggesting that mutations happens more when the population of the virus is high. Hii ipo hata kwenye HIV.
Significance of mutant genes is directly proportional to the size of the gene pool.
Once you reduce the size/number, mutant genes tend to disappear. But with increased population, they can even lead to speciation.
Hiyo ni unbiased science, very simple.
 
By Antony Sguazzin, 26 March 2021, 17:34 EAT

The most mutated variant of the coronavirus yet was found in travelers from Tanzania, prompting scientists to call for greater monitoring in a country that has largely ignored the pandemic.

A report submitted to the World Health Organization and regional bodies shows the strain has 10 more mutations than found on any other version, according to Tulio de Oliveira, director of Krisp, a scientific institute that carries out genetic testing for 10 African nations. Krisp, which discovered a new strain in South Africa last year that propelled a resurgence of infections in the country, found the new variant in travelers arriving in Angola from Tanzania.

“It is potentially of interest,” de Oliveira said in an interview on Friday.

Variants of the coronavirus have caused concern globally as, for instance, the one first identified in South Africa known as 501Y.V2 has proven more infectious and able to more easily evade some vaccines. Still, no work has been done yet on the version found in three Tanzanian travelers to ascertain whether it is more infectious or severe than other strains.

The newly discovered version will be grown at laboratories at Krisp and an attempt will be made to ascertain how easily it evades antibodies, de Oliveira said. The variant comes from a lineage of the virus first identified in China, whereas many others trace their roots to Europe.

Under recently decesased President John Magufuli, Tanzania stopped releasing data on coronavirus infections and opened up the economy including the resort island of Zanzibar, which attracts international tourists. Magufuli’s stance attracted criticism from neighbors and the WHO as anecdotal evidence suggested many people in the country have contracted the disease.

His successor, Samia Suluhu Hassan, has yet to indicate whether she will change his policies.

“This may be a big wake up call to Tanzania,” de Oliveira said.

Source: Most Mutated Covid-19 Variant Yet Found in Tanzania Travelers and Covid variant with most mutations discovered in Tanzania travellers
Na msiba wa Magufuli kutakuwa na 100 mutation
 
Kirusi kimefanya mutations 10, kwa sababu kimeachiwa tu kitapakae, nchi haipimi watu, hai isolate watu, hai chanji watu.

Nchi ingekuwa inapima watu, ina isolate watu na inchnja watu, kirusi kingekuwa controled, na hata mutations zingeonekana na kukabiliwa mapema si kutegemea watu wanaosafiri na kupimwa nje ya Tanzania.

Tumekumbatia ujinga.
South Africa na UK wamezalisha mutation, nao hawapimi watu?
 
Ndiyo maana nakwambia unajitoa tu ufahamu.
Unasema kuna nchi zimefuata taratibu na bado zimekuwa affected more si ungezitaja?
Huu ndiyo ukweli kuhusu mutations za covid.
Hutokea zaidi kwenye nchi zilizofungua mipaka, au during easing of restrictions.
Suggesting that mutations happens more when the population of the virus is high. Hii ipo hata kwenye HIV.
Significance of mutant genes is directly proportional to the size of the gene pool.
Once you reduce the size/number, mutant genes tend to disappear. But with increased population, they can even lead to speciation.
Hiyo ni unbiased science, very simple.

Bro kuna mtu hajui ni nchi zipi zimekuwa affect sana na Covid? Well nchi karibu zote za ulaya na USA kwa hapa kwetu tusiisahau KENYA na SA zimeonyesha kushambuliwa sana

One thing mnatakiwa kujua mficha maradhi kifo humuumbua Tz corrona ipo ndo maana watu wamekufa kama nchi nyingine ingawa tunatofautiana magnitude.

Je kama walivyopublish na maelezo yako ni Tz tuu ndo haijafunga mipaka kuna muingiliano zaidi wa genes?
 
Uzuri ni kuwa, hiki kirusi kikikupata kama upo healthy kinakutingisha kidogo tu kama wiki mbili kisha unakaa sawa,

Kwa Tanzania corona ni old school song.
Ndugu yangu ukipata hata Hutokufa wanaharibu organs taratibu .wengi atawakipona in a year wanakufa .Kaa ndani
 
Bro kuna mtu hajui ni nchi zipi zimekuwa affect sana na Covid? Well nchi karibu zote za ulaya na USA kwa hapa kwetu tusiisahau KENYA na SA zimeonyesha kushambuliwa sana

One thing mnatakiwa kujua mficha maradhi kifo humuumbua Tz corrona ipo ndo maana watu wamekufa kama nchi nyingine ingawa tunatofautiana magnitude.

Je kama walivyopublish na maelezo yako ni Tz tuu ndo haijafunga mipaka kuna muingiliano zaidi wa genes?
 
Sasa Hivi Brazil mutant ishawasili NY watu wameanza kufa upya .South Africa mutant ni 3rd wave Sasa Hii ya Brazil si mchezo ni lethal .Tanzania mutant ni haina hata vaccine na inaua vibaya sana ishawasili nchi 10 .
 
Shida ni kwamba wameona JPM keshafariki, wanataga kupresharizi SSH ateteleke na kuingia kwenye kimtego chao.

Nawaambien Madame is so STRONG maybe than the preceding One.

Hapigi kelele nyingi na sio muongeaji sn ila maneno yake machache ni motooo.
 
Bro kuna mtu hajui ni nchi zipi zimekuwa affect sana na Covid? Well nchi karibu zote za ulaya na USA kwa hapa kwetu tusiisahau KENYA na SA zimeonyesha kushambuliwa sana

One thing mnatakiwa kujua mficha maradhi kifo humuumbua Tz corrona ipo ndo maana watu wamekufa kama nchi nyingine ingawa tunatofautiana magnitude.

Je kama walivyopublish na maelezo yako ni Tz tuu ndo haijafunga mipaka kuna muingiliano zaidi wa genes?
Wewe una data za Tanzania?
Kwa sababu mimi nipo USA na sijawahi kumuona mgonjwa wa corona au mtu wa karibu yangu kumsikia ana corona.
Ila new cases zilikuwa hadi 250,000 a day!
Just because life goes on, haimaanishi eti hakuna wagonjwa. Thats a bit naive.
Usiseme una afadhali wakati huna data, you don't have the means, the infrastructure even the will to fight.
Huu ungekuwa wakati mzuri wa kuimarisha miundombinu ya afya.
If it was up to me, ningetumia issue hii kuboresha public health. People wanna help, dont deny it.

Mbona Israel, New Zealand wamefight effectively? Au unadhani ni bahati?
 
Wewe una data za Tanzania?
Kwa sababu mimi nipo USA na sijawahi kumuona mgonjwa wa corona au mtu wa karibu yangu kumsikia ana corona.
Ila new cases zilikuwa hadi 250,000 a day!
Just because life goes on, haimaanishi eti hakuna wagonjwa. Thats a bit naive.
Usiseme una afadhali wakati huna data, you don't have the means, the infrastructure even the will to fight.
Huu ungekuwa wakati mzuri wa kuimarisha miundombinu ya afya.
If it was up to me, ningetumia issue hii kuboresha public health. People wanna help, dont deny it.

Mbona Israel, New Zealand wamefight effectively? Au unadhani ni bahati?

Unafikiri Tz kungekuwa na vifo 1000 tuu kwa siku kwa corona kungekuwa na kuficha? Vifo/kifo hakifichiki mahospitalin tunakuona mtaani tunakuona yes kwa confidence naweza sema Tz sio kama SA na wala sio kama USA.
 
Wewe una data za Tanzania?
Kwa sababu mimi nipo USA na sijawahi kumuona mgonjwa wa corona au mtu wa karibu yangu kumsikia ana corona.
Ila new cases zilikuwa hadi 250,000 a day!
Just because life goes on, haimaanishi eti hakuna wagonjwa. Thats a bit naive.
Usiseme una afadhali wakati huna data, you don't have the means, the infrastructure even the will to fight.
Huu ungekuwa wakati mzuri wa kuimarisha miundombinu ya afya.
If it was up to me, ningetumia issue hii kuboresha public health. People wanna help, dont deny it.

Mbona Israel, New Zealand wamefight effectively? Au unadhani ni bahati?

Wew unataka data za nini? Yani tell me the importance yakusema leo watu 1000 wamekufa na corrona au wanacorrona. Kutangaza kwa wananchi. Data acha zitumike na wizara ya afya na serikali juu ya kuongeza jitihada but data zisitumike kama mashindano na kujengea hofu jamii, ugonjwa upo njia za kujikinga Wizara imezitoa tena zakisayansi kabisa, mpaka kuvaa barakoa na vitakatisha mikono is up to u kuamua. Njia za asili zipo wew tuu naakili yako utumie zote au laah
 
nipe njia za wana sayansi ambazo Tanzania hawazifanyi
Zote ... Yaani hakuna covid.
Social distancing.
Masking
Sanitizing
Lockdown (based on statistics kama inahitajika)

Badala yake ni NYUNGULIZATION ... Method done by NIMR, UDSM etc...

NYUNGULIZATION Haina scientific basis mbona wabishi??
Acheni ubishi please! It's freaking weird!
 
nipe njia za wana sayansi ambazo Tanzania hawazifanyi
1. Hawaoshi mikono
2. Hawavai barakoa
3. Hawafati masharti ya kukaa kwa umbali
Na haya ni very basic...
Bado hujataja elimu ya kujua magonjwa ya virusi, vifaa vya kuchakachua kimaabara,.............
 
Zote ... Yaani hakuna covid.
Social distancing.
Masking
Sanitizing
Lockdown (based on statistics kama inahitajika)

Badala yake ni NYUNGULIZATION ... Method done by NIMR, UDSM etc...

NYUNGULIZATION Haina scientific basis mbona wanaishi??
Acheni ubishi please! It's freaking weird!

Are you sure of this cz mim nina instructions kutoka kwa Wizara ya afya latest kabisa kuhusu corrona wacha niziweke hapa
 
Sawa scientific method huku sio mandatory,, lakn it's optional,kwa nyinyi mnaozifata hzo "scientific methods" zimewafikisha wapi, coz sioni haja ya kuanza kutishana,, kwa hali ya covid hii na jinsi tanzania ilivyo tungekuwa tushadanja nchi nzima

Msiforce tufanane bhana,, we survive kama kawa
 
Back
Top Bottom