Waziri Wa Raha
Member
- Mar 23, 2021
- 15
- 17
Zote ... Yaani hakuna covid.
Social distancing.
Masking
Sanitizing
Lockdown (based on statistics kama inahitajika)
Badala yake ni NYUNGULIZATION ... Method done by NIMR, UDSM etc...
NYUNGULIZATION Haina scientific basis mbona wabishi??
Acheni ubishi please! It's freaking weird!
Hatufuati kivipi? Unataka police wapite waanze kupiga watu? Usiamini kila kitu tafuta undani wake kwanza, haya hizo hapo instruction kutoka wizara ya afya