Waziri Wa Raha
Member
- Mar 23, 2021
- 15
- 17
Zote ... Yaani hakuna covid.
Social distancing.
Masking
Sanitizing
Lockdown (based on statistics kama inahitajika)
Badala yake ni NYUNGULIZATION ... Method done by NIMR, UDSM etc...
NYUNGULIZATION Haina scientific basis mbona wabishi??
Acheni ubishi please! It's freaking weird!
Instructions??
Duh .... Bruh usiforce.
Acha tu yaishe.
UMENENA VYEMA. WAKO WANATUTISHA KWA KUTUPAKAZIA PROPAGANDA ZA KORONA. HATUTISHIKI. TUKO IMARA JPM ALALE PEMA PEPONI. ULITUEPUSHA NA UTUMWA WA FIKRA ZA KUBUMBA ZA KORONA. ALISEMA TUSITISHANE. USIPOKUFA KWA KORONA UTAKUFA KWA UGONJWA MWINGINE. ZIDUMU FIKRA ZA MAGUFULIPropaganda hizo achana nazo, mbona wao wapo lockdown na wanavaa barakoa tatu tatu, kila siku wanatupa taarifa mamilioni wanakufa nchi zao?
Ina maana ugonjwa duniani ni corona tu mengine yapo likizo,tatizo wana utangaza sana na kutoa takwimu za uongo kutisha watu kufanikisha ajenda zao
Behaviourist unalipwa na kueneza hofu si bure kwa kukomalia propaganda za plandemic. Ushindwe n ulegee.Wapi nimesema kuwa sifi?Kwani kama Hawa anafanya uzembe wa wazi kabisa ambao unaonyesha kabisa kuwa unaweza kumuua asiambiwe kuwa atakufa?Mtu akiona ukiwa umevaa hiyo kaunda ya mwalimu hapo kwenye avatar yako anaweza kufikiri kuwa kichwani una akili lakini kumbe ni debe tupu!
Azitaje? Do u by any chance, know of the UK & SA variants? Au nao walipuuzia kama sisi?Ndiyo maana nakwambia unajitoa tu ufahamu.
Unasema kuna nchi zimefuata taratibu na bado zimekuwa affected more si ungezitaja?
Huu ndiyo ukweli kuhusu mutations za covid.
Hutokea zaidi kwenye nchi zilizofungua mipaka, au during easing of restrictions.
Suggesting that mutations happens more when the population of the virus is high. Hii ipo hata kwenye HIV.
Significance of mutant genes is directly proportional to the size of the gene pool.
Once you reduce the size/number, mutant genes tend to disappear. But with increased population, they can even lead to speciation.
Hiyo ni unbiased science, very simple.
USA wnafuata hizo njia? Maambukizi yakoje?Zote ... Yaani hakuna covid.
Social distancing.
Masking
Sanitizing
Lockdown (based on statistics kama inahitajika)
Badala yake ni NYUNGULIZATION ... Method done by NIMR, UDSM etc...
NYUNGULIZATION Haina scientific basis mbona wabishi??
Acheni ubishi please! It's freaking weird!
Duu, ulimpima Corona sio?Yule Kenge wenu sasa hivi ni mfu aliwatia ujinga ameshakufa na korona
Yaani ni aibu kwa mkuu wa nchi kufa na ugonjwa aliowadaganya haupo
Aibu sana ni jinsi inavyoonyesha nchi kuwa na idadi kubwa wajinga
UK wanafuata hizo njia? Maambukizi yako yakoje?1. Hawaoshi mikono
2. Hawavai barakoa
3. Hawafati masharti ya kukaa kwa umbali
Na haya ni very basic...
Bado hujataja elimu ya kujua magonjwa ya virusi, vifaa vya kuchakachua kimaabara,.............
Safi sanaView attachment 1736878
View attachment 1736879
View attachment 1736880
Hatufuati kivipi? Unataka police wapite waanze kupiga watu? Usiamini kila kitu tafuta undani wake kwanza, haya hizo hapo instruction kutoka wizara ya afya
Kwa kawaida tu watu wengi wanakufa na cancer na TB achilia magonjwa ya watoto (maternal death) nchini TanzaniaUK wanafuata hizo njia? Maambukizi yako yakoje?
UK wanafuata hizo njia za kisayansi? Maambukizi yao yakoje by percentage?Kwa kawaida tu watu wengi wanakufa na cancer na TB achilia magonjwa ya watoto (maternal death) nchini Tanzania
Lakini UK wakitoa data ya haya magonjwa kwao, bado idadi itaonekana kubwa kulinganisha kwa nchi kama Tanzania ambapo hakuna mfumo wa ukusanyaji data, au serikali imeaamua kimabavu kutotoa data kwa wananchi wake.
UK na development world hawana yakuwaficha wananchi wao kwenye vitu vya umuhimu kama hivi.
Umeelewa msingi wa habari kwamba mutation ya Tanzania imejiongeza kuliko zote zilizojulikana?South Africa na UK wamezalisha mutation, nao hawapimi watu?
Jibu swaliUmeelewa msingi wa habari kwamba mutation ya Tanzania imejiongeza kuliko zote zilizojulikana?
Unaelewa tofauti ya "mutated" na "most mutated" ?
Umeelewa msingi wa kupima sio kuzuia mutation bali kuziwahi ili kuzijua mapema na kuzidhibiti kwa chanjo mpya, kuzuia "mutated" zisije kuwa "most mutated"?
Mimi mbona niko Marekani nimepiga chanjo mbili za Pfizer na sijafa?sasa solution ni nini huko ulaya mnavaa barakoa na mnakufa mmepigwa chanjo bado mnakufa mkija na alternative ya kueleweka tutawasikiliza kwasasa hatuwezi kuyafaidisha makampuni ya kigeni yanayouza dawa ambayo ni useless unachoma sindano ya kinga then bado una vaa barakoa so what's the use of kinga
Kuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu
Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Swali lako linawalinganisha wewe na babu yako mzaa baba yako mzazi kwamba wote mna miaka sawa, kwa sababu wote mna watoto.Jibu swali
Nionavyo kwa uchumi wetu sioni sababu ya kuhangaika na corona ambayo haina madhara kama marelia.Mimi mbona niko Marekani nimepiga chanjo mbili za Pfizer na sijafa?
Na kama issue ni kufa tu, kuna mtu ambaye hatakufa?
Unajua kujenga hoja kwa mantiki?
Yani mtu anakwambia, ukitaka kuvuka barabara, kwa usalama zaidi, kabla ya kuvuka barabara, angalia kulia, angalia kushoto, angalia kulia, hakikisha hakuna magari kote, vuka barabara.
Wewe unajibu, hata wanaoangalia magari hivyo wengine wanagongwa na kufa, sasa solution ni nini?
Unataka dunia iwe na vifo 0 vya watu waangalifu kugongwa na magari ndiyo ukubali kujihadhari na magari unapovuka barabara kunapunguza ajali na vifo barabarani?
Tatizo tunatofautiana katika kuthamini maisha ya mtu. Nchi imefiwa mpaka na rais wewe unaona jambo dogo tu hilo.Nionavyo kwa uchumi wetu sioni sababu ya kuhangaika na corona ambayo haina madhara kama marelia.
Kila siku mnatutisha tu tutakufa kama kuku na siku zinaenda tu sisi wa hali ya chini hatukidhi vigezo vya tahadhari ni kama wote twisha pata maambukizi tuna subiri kufa tu.
Msiba wa maalim kuna waliosema baada ya wiki tutaona watu wanavyo kufa sababu ya kukusanyika bila tahadhari sasa hivi tumehamia kwenye mkusanyika wa marehemu Jiwe.
Nadhani aliyeitafsiri Ni Mkalimani.