Sema kofii amezaliwa nakuru ni mkenya si ndio upunguani wenu.Sasa kwn uongo, niletee wimbo wa diamond na wale vikaragosi wake wa wasafi uliofanikisha hilo..
Alafu ujue followers sio kitu, mi mwnywe nilimjua koffi kutoka utotoni lkn sijawai hta search account yake insta wacha ku-mfollow..
Koffi ni legendary bana africa nzima na nje pia katikisa
Unaniuliza mm ndio niliesema wewe vp?Answer that simple question badala ya kuleta feelings hapa. Hao SA na misri pia wanacook data zao kama Kenya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ama kilifiSema kofii amezaliwa nakuru ni mkenya si ndio upunguani wenu.
hiyo ni moja ya matokeo yake.Mleta uzi wewe ni mjinga sana. Kwahiyo unataka kwa sababu wana internet penetration kubwa sana waitumie ku stream nyimbo. Tanzania tutaendelea kuwa wajinga.
mapato yepi unazungumzia???Hizi ndio akili zao hawa jamaa, mwengine ananiletea followers hku nkamuuliza mapato akakimbia
taja ni nchi zipi hizo,ila sio kenya maana inasemekana hamuangalii sana youtube mko twitter[emoji1787][emoji1787][emoji1787].80% ya views zote za diamond zinatoka nje ya nchi
hiyo ni moja ya matokeo yake.
au elimu yako kubwa imeshindwa kutambua hilo!!!
wewe kama ni mjinga ni mjinga tu baba angu,usitafute wa kumtwisha lawama.You’re very stupid. I don’t know if your stupidity is hereditary or you just decided to act stupid. Nyie ndo mnafanya waTanzania tuonekana wajinga Afrika Mashariki.
Kundi la machokoJamaa Wajinga kweli na Huwa Inadanganywa Na Kwakupenda Sifa Inakubari
Yaani Inaambiwa Na Watoto walio zaliwa Jana wanatumia Internet Hahaha!!
Youtube,InstarNk
Mkenya Kupata Wafuasi 1Ml Nishangwe
Mwezi uliopita nilishangaa kuona Kundi lao Pendwa la Sijui sauti soul Kusherehekea 10Ml kwa mwaka Mzima!!
Bongo 10 Ml ni wiki 2
Imepenya wazee wa 20%[emoji1787][emoji1787]taja ni nchi zipi hizo,ila sio kenya maana inasemekana hamuangalii sana youtube mko twitter[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
tunajua nyinyi ni jua kali,hata kuburudika ni anasa,achia mbali kupata habari.ona huyu kijana sijui mnamjua hapo kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Hta huyo sio ajabu watz ni 20%[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tunajua nyinyi ni jua kali,hata kuburudika ni anasa,achia mbali kupata habari.ona huyu kijana sijui mnamjua hapo kenya[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1662910
najua shida yako ni hiyo.Hta huyo sio ajabu watz ni 20%[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
80% nje ya nchi kisha mnajiafanya kupenda vya ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili ujue Tanzania tuko juu sana kwenye digital media, niletee msanii wa kenya, kampuni ya kenya, taasisi ya kenya yenye follewers milioni 1, mimi ntakuletea 10 zaidihata Afrika Kusini pia haipo. kisha sielewi 'most streamed artist(s)' inahusiana vipi with a country's '%age of internet penetration'??? kwani hao viewers 300m alopata Domo wote wanatoka Bongo?
Kitu rahisi Ni nchi yenye watu wanastream premier league or laliga wengi,Ili ujue Tanzania tuko juu sana kwenye digital media, niletee msanii wa kenya, kampuni ya kenya, taasisi ya kenya yenye follewers milioni 1, mimi ntakuletea 10 zaidi
Tanzania Kiswahili is the language yenye kila mtu hutumia ama the majority. So mta subscribe to a lot of local content. Then Kenya watu huskiza redio za kilugha sana. Utapata mtu kama "Samido" a kikuyu musician ako na more views on YouTube than akina khaligraph or Nameless. Hakuna mwanamziki mkubwa Kenya coz of this 'tribal' factor.Vijisababu nivingi
Hapa Inaonhesha kabisa Mnapika Data za watumia Internet
nauhakika Kenya Hawana hata Nusu ya Watanzania
mnadanganywa sana
Forums zenu ni Hovyo watu Zero
YouTube Tz juu
IG Tz juu
FB Tz juu
Forums Tz juu
Yaani media Kubwa Kenya Haifikii Subscribers Wa Media ya 3 Tz