Most streamed artists in Africa, Why no Kenyan?

Most streamed artists in Africa, Why no Kenyan?

80% ya views zote za diamond zinatoka nje ya nchi
Njoo kwenye medi
IMG_20201229_201124.png
IMG_20201229_201224.png
IMG_20201229_201325.png
a
 
Below is the list of most streamed artist in Africa. Why Kenya with 90% internet penetration has no single representative while Tanzania with 46% internet penetration has 3 artists.
Hii ni ushahidi tosha kwamba takwimu zenu za watumiaji wa internet za Kenya are very well cooked.
N. B:
content za Muziki, burudani na Michezo ndiyo content zinazoangaliwa zaidi Afrika, and Kenya is not an exception.

.....Nigerian singer Burna Boy has been unveiled as the most-streamed artist in Sub-Saharan Africa, according to Billboard.

On the list titled “Billboard’s Top 15 Sub-Saharan African Artists” which is based on global views, Burnaboy takes the lead with 435.57 million streams, Tanzanian Diamond Platnumz comes in second with 291.98 million streams whiles Davido takes the third spot with 285.76 million.

Also featured on the list is Sinach, the Nigerian gospel singer who became the first African to top the Billboard USA Christian songwriters chart last month.

See below for the full list:

1. Burna Boy – 435.57M🇳🇬
2. Diamond Platnumz – 291.98M🇹🇿
3. Davido – 285.76M🇳🇬
4. Fally Ipupa – 186.5M🇨🇩
5. Wizkid – 176.23M🇳🇬
6. Innoss’B – 155.67M🇨🇩
7. TeknoMiles – 153.07M🇳🇬
8. Mr Eazi – 139.68M🇳🇬
9. Harmonize – 138.98M🇹🇿
10. Rayvanny – 133.69M🇹🇿
11. Flavour – 130.15M🇳🇬
12. Sinach – 120.73M🇳🇬
13. Eddy Kenzo – 109.73M🇺🇬
14. Yemi Alade – 109.55M🇳🇬
15. Joeboy – 106.08M 🇳🇬
Most Kenyans don't listen to local music.
 
Mpaka Uganda wamewachapa Raba [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Nina. Mashaka hata top 100 hawapo
Halafu Ugandans huwa nyimbo zao asilimia kubwa wanaimba kiganda na nyimbo zao zinavuka border [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Most Kenyans don't listen to local music.
Vijisababu nivingi
Hapa Inaonhesha kabisa Mnapika Data za watumia Internet
nauhakika Kenya Hawana hata Nusu ya Watanzania
mnadanganywa sana
Forums zenu ni Hovyo watu Zero
YouTube Tz juu
IG Tz juu
FB Tz juu
Forums Tz juu
Yaani media Kubwa Kenya Haifikii Subscribers Wa Media ya 3 Tz
 
Jamaa Wajinga kweli na Huwa Inadanganywa Na Kwakupenda Sifa Inakubari
Yaani Inaambiwa Na Watoto walio zaliwa Jana wanatumia Internet Hahaha!!
Youtube,InstarNk
Mkenya Kupata Wafuasi 1Ml Nishangwe
Mwezi uliopita nilishangaa kuona Kundi lao Pendwa la Sijui sauti soul Kusherehekea 10Ml kwa mwaka Mzima!!
Bongo 10 Ml ni wiki 2
Below is the list of most streamed artist in Africa. Why Kenya with 90% internet penetration has no single representative while Tanzania with 46% internet penetration has 3 artists.
Hii ni ushahidi tosha kwamba takwimu zenu za watumiaji wa internet za Kenya are very well cooked.
N. B:
content za Muziki, burudani na Michezo ndiyo content zinazoangaliwa zaidi Afrika, and Kenya is not an exception.

.....Nigerian singer Burna Boy has been unveiled as the most-streamed artist in Sub-Saharan Africa, according to Billboard.

On the list titled “Billboard’s Top 15 Sub-Saharan African Artists” which is based on global views, Burnaboy takes the lead with 435.57 million streams, Tanzanian Diamond Platnumz comes in second with 291.98 million streams whiles Davido takes the third spot with 285.76 million.

Also featured on the list is Sinach, the Nigerian gospel singer who became the first African to top the Billboard USA Christian songwriters chart last month.

See below for the full list:

1. Burna Boy – 435.57M🇳🇬
2. Diamond Platnumz – 291.98M🇹🇿
3. Davido – 285.76M🇳🇬
4. Fally Ipupa – 186.5M🇨🇩
5. Wizkid – 176.23M🇳🇬
6. Innoss’B – 155.67M🇨🇩
7. TeknoMiles – 153.07M🇳🇬
8. Mr Eazi – 139.68M🇳🇬
9. Harmonize – 138.98M🇹🇿
10. Rayvanny – 133.69M🇹🇿
11. Flavour – 130.15M🇳🇬
12. Sinach – 120.73M🇳🇬
13. Eddy Kenzo – 109.73M🇺🇬
14. Yemi Alade – 109.55M🇳🇬
15. Joeboy – 106.08M 🇳🇬
Kwa hivyo hata South Africa na Misri ambao hawana wasanii kwenye hiyo list pia wanacook data zao za internet penetration? Reasoning yenu ni ya ujinga sana!
 
Jamaa Wajinga kweli na Huwa Inadanganywa Na Kwakupenda Sifa Inakubari
Yaani Inaambiwa Na Watoto walio zaliwa Jana wanatumia Internet Hahaha!!
Youtube,InstarNk
Mkenya Kupata Wafuasi 1Ml Nishangwe
Mwezi uliopita nilishangaa kuona Kundi lao Pendwa la Sijui sauti soul Kusherehekea 10Ml kwa mwaka Mzima!!
Bongo 10 Ml ni wiki 2
Kwn diamond ana wimbo gani huo wa 10m views ndani ya wiki mbili
 
Kwhyo hutaki
Manake umenambia nije kwenye media, wkati mapato pia lazima
Kabla ya Mapato
Rejea Mada husika hapo juu
Mnadai mna Watumiaji wengi wa Internet sasa tupatieni Uhalisia upo wapi?
Maana Kila kona tunawachapa tena kwa mbaali
 
Kabla ya Mapato
Rejea Mada husika hapo juu
Mnadai mna Watumiaji wengi wa Internet sasa tupatieni Uhalisia upo wapi?
Maana Kila kona tunawachapa tena kwa mbaali
Kwhyo mumewazidi mpka south africa
 
Hivi South Africa iko classified as Sub- Saharan Africa country?

Huwa nashindwa kuelewa hapa.
Kwa hivyo afrika kusini haipo sub-Saharan Africa?!?! Wah!! 😂 😂 😂 😂 And you are just asking this with a lot of confidence. Hivyo ndio mnafundishwa saint kayumba preparatory?
 
Reasoning yao ndio hiyo sasa. Nakuambia akili zimedumaa kule south
Acha twende nao hvo hvo, mmoja eti anasema diamond kafikisha view 23m ndani ya wiki 3..

Kumbe anasahau km mchango wa koffi ni mkubwa sana katima ule wimbo..
 
Kwa hivyo afrika kusini haipo sub-Saharan Africa?!?! Wah!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] And you are just asking this with a lot of confidence. Hivyo ndio mnafundishwa saint kayumba preparatory?
Hizi ndio akili zao hawa jamaa, mwengine ananiletea followers hku nkamuuliza mapato akakimbia
 
Back
Top Bottom