Moto anaopelekewa Mbowe unamfanya ashindwe kurusha shambulizi hata Moja la maana

Moto anaopelekewa Mbowe unamfanya ashindwe kurusha shambulizi hata Moja la maana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
 
Mbowe amezeeka haamini walimwengu wanamnyanganya duka lake hivi hivi ooopsssh....Yaani Joni Mrema akiona duka lao linaenda anachanganyikiwa kipara chote kinalowana mayiiii...Jamaa anaekopi vitabu vya watu na hata majina ya wazazi wengine anajipachika yeye ndio zero plus
 
Mbowe amezeeka haamini walimwengu wanamnyanganya duka lake hivi hivi ooopsssh....Yaani Joni Mrema akiona duka lao linaenda anachanganyikiwa kipara chote kinalowana mayiiii...Jamaa anaekopi vitabu vya watu na hata majina ya wazazi wengine anajipachika yeye ndio zero plus

😃😃😃
Duka bye-bye
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
nadhani ezekia wenje alimaliza kazi jana vizuri sana,
msimamo wa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa uko pale pale, kukilinda chama dhidi ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na mercenaries wake 🐒
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa


Lissu kafanya vizuri kuto tangaza mapema maana Mbowe angejiandaa
 
Hakuna jambo baya kama mwanadamu kuishi 'in denial'.

Heshima ya Mbowe haitokuwa sawa tena hata akishinda uenyekiti. Kuna taswira ilijengeka kuwa Mbowe ni 'untouchable' katika chama. Ila huu uchaguzi umekuja kuivunja vunja hiyo taswira na sasa anaonekana ni mtu tu wa kawaida.

Mbowe hataki kukubali kuwa ile facade ya ukuu usiomithilika aliyoitengeneza haipo tena, mwisho wa uchaguzi huu kutokujali nani atakuwa mshindi, ni mwanzo wa usaliti, uasi na uvunjwaji wa heshima mkubwa kwa Mbowe ndani na nje ya chama. Huu uchaguzi umekuja rasmi kuwa mwanzo wa mwisho wa Mbowe.
 
Kamanda Kala nyoya mdahalo😀🤣
 

Attachments

  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    43.2 KB · Views: 2
Hakuna jambo baya kama mwanadamu kuishi 'in denial'.

Heshima ya Mbowe haitokuwa sawa tena hata akishinda uenyekiti. Kuna taswira ilijengeka kuwa Mbowe ni 'untouchable' katika chama. Ila huu uchaguzi umekuja kuivunja vunja hiyo taswira na sasa anaonekana ni mtu tu wa kawaida.

Mbowe hataki kukubali kuwa ile facade iliyoitengeneza haipo tena, mwisho wa uchaguzi huu kutokujali nani atakuwa mshindi, ni mwanzo wa usaliti, uasi na uvunjwaji wa heshima mkubwa kwa Mbowe ndani na nje ya chama. Huu uchaguzi umekuja rasmi kuwa mwanzo wa mwisho wa Mbowe.
Uko sahihi, yan saa hii hata bavicha vijana wataona kumbe mboe anatikisika tu??? Watamtia adabu kwel kwel
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Mbowe anajificha kwenye handaki kisha anawatuma akina Wenje,Yericko,Ntobi wavae mabomu waje nje huku.
 
Sasa hivi kila mtu atataka kumchezea sharubu. Kwa sasa rasmi Mbowe amekuwa mwanasesere mithili ya kina Lipumba.

Hata CCM haitokuwa na haja nae baada ya huu uchaguzi.
Kabisaaaa..watainua vijana mapandikiz wenye nguvu wa kumshughulikia.
Yaan leo hii mbowe anafikia hatua ya kulia lia hadharani kwamba "wananifanyia character assasination" halaf tena bila aibu anasema "tutawashughulikia baada ya uchaguzi".
Hopeless kabisa hata akishinda
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Mbowe ni kiongozi atakuwa ni mtu wa hovyo kama na yeye atakuwa anapiga kelele za hovyo kama kina Lissu na Lema.

Kiongozi kazi yake ni kuongoza wengine na kubeba uchafu inapobidi.

Boksi la kura ndio litasema kila kitu.
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Unaweza kutaja sababu moja tu nzuri kwanini Lissu na sio Mbowe?
 
Mbowe ni kiongozi atakuwa ni mtu wa hovyo kama na yeye atakuwa anapiga kelele za hovyo kama kina Lissu na Lema.

Kiongozi kazi yake ni kuongoza wengine na kubeba uchafu inapobidi.

Boksi la kura ndio litasema kila kitu.

Mjitahidi angalau apate Kura 30%
Maana Mzani umelalia kwake
 
Back
Top Bottom