Moto anaopelekewa Mbowe unamfanya ashindwe kurusha shambulizi hata Moja la maana

Moto anaopelekewa Mbowe unamfanya ashindwe kurusha shambulizi hata Moja la maana

nadhani ezekia wenje alimaliza kazi jana vizuri sana,
msimamo wa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa uko pale pale, kukilinda chama dhidi ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na mercenaries wake 🐒
Huyu ndiye alimaliza kazi jana kweli?



Na kusema kuwa Join the Chain ilikuwa kampeni ya kukusanya pesa ili kumpindua Mbowe akiwa gerezani halafu mara moja katibu mkuu akakanusha?

IMG-20250116-WA0100.jpg

IMG-20250117-WA0022.jpg
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Mbowe akili kubwa hawezi kujibizana vibarazani! Kichwa kimejaza hekima!
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
mbowe syo mropokaji.
huyu ni busara tupu, syo kichaa, syo mwehu.
anawaacha wehu watukane ili wakose fadhila popote tanzania
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Mbowe amejiandaa kisaikolojia kukubali Kushindwa na kumbuka Mbowe Kwa hulka sio mtu wa kuropoka so anakuwa na akiba ya maneno.

Gurudumu Bado linazunhuka na Lisu kuwa Mwenyekiti wa Chadema sio mwisho wa Maisha,Kuna maisha mengine baada ya hapo.

Mbowe NJ mtibeli na Kama ujuavyo watibeli Huwa hawaropoki wanajua kuna kesho pia muhimu kuliko Leo waliyoiiwhi tayari.

View: https://www.instagram.com/p/DE7nQHLt1-E/?igsh=ZHA3eTl2c21xOXVr
 
Mbowe amejiandaa kisaikolojia kukubali Kushindwa na kumbuka Mbowe Kwa hulka sio mtu wa kuropoka so anakuwa na akiba ya maneno.

Gurudumu Bado linazunhuka na Lisu kuwa Mwenyekiti wa Chadema sio mwisho wa Maisha,Kuna maisha mengine baada ya hapo.

Mbowe NJ mtibeli na Kama ujuavyo watibeli Huwa hawaropoki wanajua kuna kesho pia muhimu kuliko Leo waliyoiiwhi tayari.

View: https://www.instagram.com/p/DE7nQHLt1-E/?igsh=ZHA3eTl2c21xOXVr


Mbowe amekosa Safu nzuri ya kumkingia Kifua.

Ingawaje nakubaliana na wewe kuwa Mbinu za Mbowe zinakaribiana kwa ukaribu na Mbinu za Kikwete. Wakati Mbinu za Lisu zinaendana kwa kiasi na Mbinu za Magufuli
 
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣
Ni vyema useme upepo wanaopelekewa CCM ndio itakaa poa zaidi.
Maana wanaoungua zaidi huo upepo wa moto ni CCM

CCM wao Kete zao bado zipo kwenye Safu nzuri. Bado hawajatumia silaha hata Moja katika vita hii ya 2025.

CHADEMA ndio wanalumbana wenyewe na hii inawapa nafasi CCM kujipanga zaidi.

Tunatarajia mwanzoni mwa February kuona CCM watakuja na mipango gani
 
Lisu hata akishinda atagombana na viongozi wengi sana, chadema kila siku kitakuwa ni chama cha mavurugu. Nadhani hapa Mbowe akimwachia tu lisu ili kila mtu aone ubovu wake
 
Lisu hata akishinda atagombana na viongozi wengi sana, chadema kila siku kitakuwa ni chama cha mavurugu. Nadhani hapa Mbowe akimwachia tu lisu ili kila mtu aone ubovu wake

Chama kinaongozwa na Katiba Mkuu.
Hayo unayosema ni maoni tuu.

Lisu ashaongoza TLS chama cha Wasomi watupu ashindwe kuongoza chama Chenye watu mchanganyiko?
 
Salama!

Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.

Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.

Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.

Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.

Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.

Hatari Sana kwa kweli!

Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Huyu ndio kiongozi bora.
Huna haja ya kurusha makombora lamuhimu kueleza sera zake.
Na mie namuomba asijitoe.
hakuna aibu kushindwa.
huko ndio kukomaa
 
Huyu ndio kiongozi bora.
Huna haja ya kurusha makombora lamuhimu kueleza sera zake.
Na mie namuomba asijitoe.
hakuna aibu kushindwa.
huko ndio kukomaa

Unaweza kutuambia Sera yake hata Moja aliyoitaja Mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom