Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mtibeli hebu tabiri matokeo tena tafadhaliRound hii Nyani Mzee kila Tawi analorukia linateleza na unabii wa siku ya kufa Nyani unatimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtibeli hebu tabiri matokeo tena tafadhaliRound hii Nyani Mzee kila Tawi analorukia linateleza na unabii wa siku ya kufa Nyani unatimia
Mtibeli hebu tabiri matokeo tena tafadhali
Lisu ni kama Magufuli yeye ni kunyoosha tu kitu ambacho ni hatari sana ukishakuwa kiongozi hekima na busara ni kitu muhimu sana hasa sisi ngozi nyeusi. Kwenye uongozi wa Lisu hii nchi itakuwa ni matamko kila sikuSema kama atashindwa kuunganisha chama kuhujumiana ni dhahiri
Yupo shallow sana. Na ana jiona genius mwenyewe Lucas MwashambwaLucas Mwashambwa kwenye hii vita anatumia silaha za early stone age huko wakati wenzake wanarusha drone
Yupo shallow sana. Na ana jiona genius mwenyewe Lucas Mwashambwa
Na hapo ubongo itakua hautumiki vyema😃😃
Ukiona mtu anabubujikwa na machozi kila mara maana yake hisia zinamtawala kuliko Akili
Lisu ni kama Magufuli yeye ni kunyoosha tu kitu ambacho ni hatari sana ukishakuwa kiongozi hekima na busara ni kitu muhimu sana hasa sisi ngozi nyeusi. Kwenye uongozi wa Lisu hii nchi itakuwa ni matamko kila siku
Kwa hiyo mmesema anapelekewa moto au hoja?Salama!
Tangu dakika ya Kwanza Mpaka sasa Tupo dakika ya 80 Mbowe hajapewa nafasi ya kulikaribia lango la Lisu. Anashambuliwa non-stop, kwa kweli hiki kipigo kama asingekuwa mzoefu angekuwa ashaaga mashindano.
Hajashambulia hata mara Moja. Yeye Kazi yake ni kuzuia mashambulizi ingawaje yapo yanayomuingia vilivyo.
Mpaka sasa Mbowe Hana uwezo wa kueleza ataifanyia nini CHADEMA.
Mifumo yake ya ulinzi, kumbukumbu, Sera na maamuzi imeharibiwa vibaya na makombora ya Timu Lisu.
Anachofanya Mbowe ni kama Hezbollah au Hammas kujificha kwenye mahandaki.
Wapiganaji wake kina Yericko Nyerere na Wenje kwa sasa ni mahututi, wanataka vita visitishwe. Lakini Timu Lisu wamedhamiria kumkoma Nyani Giladi.
Hatari Sana kwa kweli!
Kwenu johnthebaptist , ChoiceVariable FUSO Retired Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa
Hilo sio jibu au Akili yako Sawa na Ile ya Yericko Nyerere. Mgumu kuelewa alafu mbishiBado hujajibu swali langu Robert.
Mwamba yuko fit!Sio kama amepoteza Steps
Mwamba yuko fit!
Nasikia huko BAWACHA kambi ya Diaspora chali?Hahaha
Mmachame hakutegemea yaliyotokea ndio maana hata hakujiandaa na silaha nzito nzito.Mbowe amezeeka haamini walimwengu wanamnyanganya duka lake hivi hivi ooopsssh....Yaani Joni Mrema akiona duka lao linaenda anachanganyikiwa kipara chote kinalowana mayiiii...Jamaa anaekopi vitabu vya watu na hata majina ya wazazi wengine anajipachika yeye ndio zero plus
Kila la Mwanzo lapaswa kuwa na mwishoKabisaaaa..watainua vijana mapandikiz wenye nguvu wa kumshughulikia.
Yaan leo hii mbowe anafikia hatua ya kulia lia hadharani kwamba "wananifanyia character assasination" halaf tena bila aibu anasema "tutawashughulikia baada ya uchaguzi".
Hopeless kabisa hata akishinda