Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Management ya miji mikubwa kwetu Afrika ni kitu kipya. Wenzetu Ulaya na kwingineko walijifunza the hardway.
Moto wa London, The Great Fire of London mwaka 1666, karibia miaka 500 iliyopita , Uingereza ilijifunza kutokana na moto huo wa siku nne mfululizo.
Chanzo: Machinga type mentality.
Sisi huku Tanzania , wanao manage miji, wanasiasa na hata hao machinga, wametoka vijijini, wengine jana, na wengine si zaidi ya miaka 15 au 20 iliyopita.
Katika historia ya kikoloni sisi tulisoma juu ya The Great Fire of London, sina uhakika na hilo kwa viongozi wengi wa miji wa sasa.
Tumeonya sana juu ya Machinga mijini, lakini kwa vile ni mtaji wa kisiasa, wataendelea kuwepo hadi tukio kama la Kariakoo litokee tena.
Rais na hata Waziri Mkuu wanaunda Tume za chanzo cha moto wakati majibu wanayo. Basically ni whitewash.
Tumechecka na machinga mentality, na sasa tunavuna mabua, literally!
Moto wa London, The Great Fire of London mwaka 1666, karibia miaka 500 iliyopita , Uingereza ilijifunza kutokana na moto huo wa siku nne mfululizo.
Chanzo: Machinga type mentality.
Sisi huku Tanzania , wanao manage miji, wanasiasa na hata hao machinga, wametoka vijijini, wengine jana, na wengine si zaidi ya miaka 15 au 20 iliyopita.
Katika historia ya kikoloni sisi tulisoma juu ya The Great Fire of London, sina uhakika na hilo kwa viongozi wengi wa miji wa sasa.
Tumeonya sana juu ya Machinga mijini, lakini kwa vile ni mtaji wa kisiasa, wataendelea kuwepo hadi tukio kama la Kariakoo litokee tena.
Rais na hata Waziri Mkuu wanaunda Tume za chanzo cha moto wakati majibu wanayo. Basically ni whitewash.
Tumechecka na machinga mentality, na sasa tunavuna mabua, literally!