Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mkuu ponda ni muisilam mali zinazo teketea n I za waislam hii inawezaje kumsaidia yeye atolewe huko aliko na kuwa free?Kwa kua mmemficha Sheikh kwa faida ya mkewe sio?
We sijui unaongea upumbavu gani, Mi nilichosema shule 3, zote za Kiislam kuungua ndani ya muda mfupi kunaleta maswali, wewe unaniambia maswala ya Ponda?Kwahiyo mnachoma ili Ponda atolewe aliko? Akishatolewa ndio hizo bweni zitajijenga upya tena kwa maghorofa, na waislamu elimu yao itapanda na watafaulu kwa wingi sana mwaka huu?
Sheikh Ponda hahusiki na hiyo myoto!!sasa mkuu ponda ni muisilam mali zinazo teketea n I za waislam hii inawezaje kumsaidia yeye atolewe huko aliko na kuwa free?
Hovyo SanaMpumbavu anajiropokea tu,
Sidhani kama kuna uhusiano. Ila kama kweli kuna uhusianao basi wachomaji watakuwa wehu fulani hivi....maana ingekuwa na mashiko kama wangechoma shule za serikali.Mtoeni Sheikh mlikomficha.
Huyo kwenye picha ndiye kahusika?Nilitonywa mapema sana hii khs moto
Sema pongezi kwa watu wa Mtambani waliwahi kuuzima
Ova
View attachment 1510069
Naamini wehu ni wanaomshikilia Sheikh Ponda.Sidhani kama kuna uhusiano.
Ila kama kweli kuna uhusianao basi wachomaji watakuwa wehu fulani hivi....maana ingekuwa na mashiko kama wangechoma shule za serikali.
Iweje waonyeshe hisia kwa kuharibu mali zao wenyewe!
Msipende kuwahususisha ma Imam wenye hadhi zao na upuuzi kama huu hata siku moja, labda kama katika ibada yake huyo Shekh wenu alinuia hivyo, pia nitakuwa wa mwisho kuamini ati alinuia shule za waislam ziungue si kweli namjua Shekh ana uchungu Sana na Mali za waislam, acha kukurupuka mnaingiaga matatani hivi hiviSheikh aachiwe huru.
Kama moto unalipuka wenyewe kwenye matofali itakuaje kwenye vilipuzi kama vya gongolamboto, lugalo, mbagala n.k?
Sheikh anaendelea kufunga na kusoma vosomo akimshirikisha IMAM GHAZAL
Wewe naye wale wale zumbukuku kutoka upande wa pili, linajadiliwa na maana wewe unaleta sifa isiyo na maanaWanafunzi wapo kwenye practical za kigaidi wala msishangae!
Mwamedi ndio nani? Huyu atakuwa wa kwenye kitabu cha Imani yako.Waislam linapokuja suala la dini akili zao humkabidhi mtume mwamedi, naamini hizi shule zinachomwa makusudi na radicalized Muslims ili kutengeneza picha la uongo kuwa waislam tz ni daraja la tatu hlf Christian ni first class na wanapendelewa na serikali sana wkt uhalisia ni namba tunasomeshwa watz wote bila kujali dini za mtu!
Zikiungua hizo wanasingiziwa watu wa imani nyingineMbona shule za wakristo au selikali zikiungua huwezi kusikia tetesi za kipumbavu?
Shule niliyosoma zamani ilikuwa na msikiti pale msikitini wanafunzi wananyanyua vyuma na kujifunza karate...wote waliokaa msikitini they scored division zero (0)
Daaaah! Kwenye daladala hadi nimepaliwaalabda waliwasha moto wa kupasha madufu
Najua kua mnamiliki uungu wa mwenyezi hapa duniani. Najua pia hayo matata umemaanisha kuteka, kutesa hata kuua.Msipende kuwahususisha ma Imam wenye hadhi zao na upuuzi kama huu hata siku moja, labda kama katika ibada yake huyo Shekh wenu alinuia hivyo, pia nitakuwa wa mwisho kuamini ati alinuia shule za waislam ziungue si kweli namjua Shekh ana uchungu Sana na Mali za waislam, acha kukurupuka mnaingiaga matatani hivi hivi