Moto unaoiteketeza California ingekuwa Tanzania lawama angeangushiwa Rais na Serikali yake. Tujifunze kuiamiani serikali, haiwezi kuzuia kila janga

Moto unaoiteketeza California ingekuwa Tanzania lawama angeangushiwa Rais na Serikali yake. Tujifunze kuiamiani serikali, haiwezi kuzuia kila janga

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza Marekani yote na ulimwengu mzima!

Wanasema ni moto wa nyika lakini hapana California inachomwa na Mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali!

Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu, California yote imeteketea tujifunze kuheshimu Mungu na kuamini kwamba Mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha bure!

Ingekuwa Tanzania Wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa wana bwabwaja ni uzembe wa Serikali au Rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa Serikali.
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
picha tupia
 
Lini watu wakapondea rais kwa sababu ya ajali au tukio la ajali?

Watu hupondea rais na watu wa chini yake kutokana na juhudi zinazotumika kukabiliana na tukio la ajali.

Nikupe mfano,lile tukio la kariakoo,kwanza ile ajali ilitokea kwa uzembe na rushwa miongoni mwa idara za serikali,pili ilitokea,uokoaji haukuwa makini kuwekeza rasilimali zote ili watu watoke hai.

Fikiria jengo dogo lile,watu wako chini siku 2 hai,hata hewa hawapewi,huo ni uzembe.
Kuna watu hawakustahili kufa kwenye ile ajali,ila uzembe umesababisha vifo vyao.
 
Tizama uwajibikaji wa wenzetu kupambana na hilo sakata kisha tizama na huku, sisi kijengo cha ghorofa 4 tu karibia wiki wanahangaika na uokozi, unadhani janga hilo likija bongo si nchi yote inateketea.

Baada ya janga kuisha, tizama wanavyorudisha miundombinu kwa speed, maisha yanarudi, sisi barabara ya kilwa kwenda mtwara, kule mto gani sijui uliharibu madaraja toka mwaka juzi sijui ni jana, mpaka lini sijui nilipita pale, ujenzi bado.
 
Lini watu wakapondea rais kwa sababu ya ajali au tukio la ajali?

Watu hupondea rais na watu wa chini yake kutokana na juhudi zinazotumika kukabiliana na tukio la ajali.

Nikupe mfano,lile tukio la kariakoo,kwanza ile ajali ilitokea kwa uzembe na rushwa miongoni mwa idara za serikali,pili ilitokea,uokoaji haukuwa makini kuwekeza rasilimali zote ili watu watoke hai.

Fikiria jengo dogo lile,watu wako chini siku 2 hai,hata hewa hawapewi,huo ni uzembe.
Kuna watu hawakustahili kufa kwenye ile ajali,ila uzembe umesababisha vifo vyao.
Wewe ndyo unaandika upumbavu mtu ana nyumba yake yeye mwenyewe anafanya maboresho sijui bila tahadhari jengo linadondoka unailaumu serikali kwa lipi au unaringanisha Tanzania na Marekani mna nongwa sana wabongo sijui mna makasiriko ya nn
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Ingekuwa, unajuaje ingekuwa hivyo? Usitoe hitimisho kwa kitu cha mbele usichokijua.
 
Viongozi wa marekani wangekuwa wajinga kama walivyo viongozi wa afrika hasa awamu ya sita Nchi furani kungekuwa na vifo vya halaiki.lakini kwa kuwa viongozi wa marekani ni wazalendo na wawajibikaji hakuna hata kifo kimoja kilichotokea dhidi Hilo janga la moto
 
Tatizo serikali za Kiafrika ukanjanja mwingi.

Muulize Amos Makalla kwanini kila akiwa mkuu wa mkoa lazima soko la mkoa husika liungue, hapo utaelewa kwanini lawama huelekezwa serikalini.
 
Wewe ndyo unaandika upumbavu mtu ana nyumba yake yeye mwenyewe anafanya maboresho sijui bila tahadhari jengo linadondoka unailaumu serikali kwa lipi au unaringanisha Tanzania na Marekani mna nongwa sana wabongo sijui mna makasiriko ya nn
Kwahiyo alifanya maboresho katikati ya jiji bila vibali vya serikali?

Unasema bila aibu eti alifanya bila tahadhali,kwahiyo pale katikati ya mji,serikali ilikuwa haioni?

Kwa akili zako za kipumbavu unaona hakuna rushwa hadi ujenzi kufanyika bila tahadhali yoyote?

Kwahiyo jengo lilipoanguka,unaona zile juhudi zilitosha kuokoa maisha ya watu?
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Ila sifa anapewa yeye kwa kila jambo.

Hata sasa sifa zote ni za rais, shida zote ni za chadema na wapinzani.
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Umewaza kama mimi.

Nchi hii imejaa majitu majinga sana ,saizi wale wanaharakati uchwara na wapinga Samia wameufya Kwa sababu ya aibu 🤣🤣
 
Ila sifa anapewa yeye kwa kila jambo.

Hata sasa sifa zote ni za rais, shida zote ni za chadema na wapinzani.
Pamoja na kupewa Kwa kila jambo tena ana stahiki ila Huwa roho zinawauma 😆😆

Dola ikipanda sio Samia ila ikishuka ni uzembe wa Samia 😂😂

Haters mna shida sana ila bahati mbaya Kila mnalopanga linadunda ,Samia ana nyota Moja matata sana
 
Kwahiyo alifanya maboresho katikati ya jiji bila vibali vya serikali?

Unasema bila aibu eti alifanya bila tahadhali,kwahiyo pale katikati ya mji,serikali ilikuwa haioni?

Kwa akili zako za kipumbavu unaona hakuna rushwa hadi ujenzi kufanyika bila tahadhali yoyote?

Kwahiyo jengo lilipoanguka,unaona zile juhudi zilitosha kuokoa maisha ya watu?
Kazi kuilaumu serikali kwa vitu ambavyo ni nje uwezo wao na nyinyi mnaolalamika sana tunajua mpo upande gani nchi nyingi za Africa zina matatizo lkn hawalalamiki kama nyinyi
 
Kazi kuilaumu serikali kwa vitu ambavyo ni nje uwezo wao na nyinyi mnaolalamika sana tunajua mpo upande gani nchi nyingi za Africa zina matatizo lkn hawalalamiki kama nyinyi

KITENDO CHA JENGO KUBOMOKA KWA KUKIUKA SHERIA UNASEMA IKO NJE YA UWEZO WA SERIKALI?

BADO,HATUA DHAIFU KATIKA UOKOAJI UNASEMA NI NJE YA UWEZO WA SERIKALI?

HIVI UNAANDIKA UPUMBAVU GANI WEWE?
 
KITENDO CHA JENGO KUBOMOKA KWA KUKIUKA SHERIA UNASEMA IKO NJE YA UWEZO WA SERIKALI?

BADO,HATUA DHAIFU KATIKA UOKOAJI UNASEMA NI NJE YA UWEZO WA SERIKALI?

HIVI UNAANDIKA UPUMBAVU GANI WEWE?
Huoni huko mnakosema kumeendelea majanga yanatokea usiulize Tanzania imekufanyia nini jiulize ww umeifanyia nini Tanzania
 
Back
Top Bottom