Moto unaoiteketeza California ingekuwa Tanzania lawama angeangushiwa Rais na Serikali yake. Tujifunze kuiamiani serikali, haiwezi kuzuia kila janga

Moto unaoiteketeza California ingekuwa Tanzania lawama angeangushiwa Rais na Serikali yake. Tujifunze kuiamiani serikali, haiwezi kuzuia kila janga

Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
The good thing ni mungu sio Mungu! Shetani ni Baba wa uharibifu
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali

Kuna asilimia 99.9,majanga yanayotokea TZ, ni, uzembe wa serikali, Anza, na kuporomoka kwa jengo kariakoo, hiz coaster zinazochinja kila siku,
Hata hili taking la USA, kuna uzembe, "wenyeji wwnasema, kulikuwa na tasrifa kuwa kutakuwa na tukio kama hili, HYDRANT hazikuwa na presha kubwa ya, maji! Huo ni uzembe, ukifika pale airport ya mwanza,zinapopaki gari za zimamoto, nikakuta wale maofisa wa faya,wamekaa kihasara hasara,matumbo wazi, wapo wanapika kwa kuni,! Nikajiuliza, hawa ndio wapo standby moto ukitokea!
Fika pale idara ya faya, Dodoma, makole, pembeni na jengo la pspf, unswakuta wamekaa nje, kwenye benchi, wanaota moto kama mijusi, wanapiga umbeya tu, wapo wapo tu kama vibaka, wakati ilibidi kuwe na ofisi, canteen ya kisasa, computer za kutosha, watu wanasoma, kuongeza elimu
 
Viongozi wa marekani wangekuwa wajinga kama walivyo viongozi wa afrika hasa awamu ya sita Nchi furani kungekuwa na vifo vya halaiki.lakini kwa kuwa viongozi wa marekani ni wazalendo na wawajibikaji hakuna hata kifo kimoja kilichotokea dhidi Hilo janga la moto
KWAMBA HAKUNA KIFO? Unaota
 
Acha kukurupuka, hii, nchi imejaa wajinga Sana, unalinganisha USA na huu uchafu TZ!
Kuna asilimia 99.9,majanga yanayotokea TZ, ni, uzembe wa serikali, Anza, na kuporomoka kwa jengo kariakoo, hiz coaster zinazochinja kila siku,
Hata hili taking la USA, kuna uzembe, "wenyeji wwnasema, kulikuwa na tasrifa kuwa kutakuwa na tukio kama hili, HYDRANT hazikuwa na presha kubwa ya, maji! Huo ni uzembe, ukifika pale airport ya mwanza,zinapopaki gari za zimamoto, nikakuta wale maofisa wa faya,wamekaa kihasara hasara,matumbo wazi, wapo wanapika kwa kuni,! Nikajiuliza, hawa ndio wapo standby moto ukitokea!
Fika pale idara ya faya, Dodoma, makole, pembeni na jengo la pspf, unswakuta wamekaa nje, kwenye benchi, wanaota moto kama mijusi, wanapiga umbeya tu, wapo wapo tu kama vibaka, wakati ilibidi kuwe na ofisi, canteen ya kisasa, computer za kutosha, watu wanasoma, kuongeza elimu
Hii ni nchi yetu sote Kila mtu anatakiwa atoe mchango wake wewe umetoa mchango gani mpaka sasa ?
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Andika Mungu na sio mungu.... Topic yako itakuwa na maana zaidi.
 

Hydrants issue impaired LA wildfires fight, governor says, as evacuation area grows​


California's governor has called for an independent investigation into how critical fire hydrants ran out of water and "impaired" the fight against the Los Angeles area wildfires.


Uzembe upo kila mahali!
Hakuna cha hydrants wala uzembe, hilo ni suala la hali ya hewa na jiografia, California iko prone kwa mioto ya mara kwa mara kutokana na ukam, joto kali na aina ya vilima vyake.
 
LINI WATU WAKAPONDEA RAIS KWA SABABU YA AJALI AU TUKIO LA AJALI?

WATU HUPONDEA RAIS NA WATU WA CHINI YAKE KUTOKANA NA JUHUDI ZINAZOTUMIKA KUKABILIANA NA TUKIO LA AJALI.

NIKUPE MFANO,LILE TUKIO LA KARIAKOO,KWANZA ILE AJALI ILITOKEA KWA UZEMBE NA RUSHWA MIONGONI MWA IDARA ZA SERIKALI,PILI ILITOKEA,UOKOAJI HAUKUWA MAKINI KUWEKEZA RASILIMALI ZOTE ILI WATU WATOKE HAI.

FIKIRIA JENGO DOGO LILE,WATU WAKO CHINI SIKU 2 HAI,HATA HEWA HAWAPEWI,HUO NI UZEMBE.

KUNA WATU HAWAKUSTAHILI KUFA KWENYE ILE AJALI,ILA UZEMBE UMESABABISHA VIFO VYAO.
Ni kweli mwezi wa kumi na mbili mbeya imetokea ajali ya 5 hivi imesababisha watu wengi kufa baada ya hapo walikuja wakasembua pembeni na akuna kinachoendelea unaona jinsi uongozi auko makini kusimamia na kuokoa maisha ya raia wanajiangalia wao baada ya kuondoa au kupunguza viatalishi vya ajali
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Califonia imekuwa kama Gaza bila Vita wala mabomu ! 😳😱

Tumuogope Mungu 🙏🙏🙏
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Mungu sio mungu.. Hizo lawama umejitungia
 
Viongozi wa marekani wangekuwa wajinga kama walivyo viongozi wa afrika hasa awamu ya sita Nchi furani kungekuwa na vifo vya halaiki.lakini kwa kuwa viongozi wa marekani ni wazalendo na wawajibikaji hakuna hata kifo kimoja kilichotokea dhidi Hilo janga la moto
Wale 10 waliokufa je?
 
Viongozi wa marekani wangekuwa wajinga kama walivyo viongozi wa afrika hasa awamu ya sita Nchi furani kungekuwa na vifo vya halaiki.lakini kwa kuwa viongozi wa marekani ni wazalendo na wawajibikaji hakuna hata kifo kimoja kilichotokea dhidi Hilo janga la moto
Ripoti zinasema watu 10 wamefariki Kwa hilo janga, taarifa zako unazitoa wapi?
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Kama mvua zikija anasifiwa rais, kwanini na matukio ya moyo yakitokea asiusiane nayo?
 
KWAMBA HAKUNA KIFO? Unaota
Vifo vimetokea ambayo
Wale 10 waliokufa je?
Wale kumi presha zao zilipanda kutokana na mali zao nyingi kuungua na umri wao na uzee wao ulichangia .siyo kwamba waliungua.Ingekuwa Tanzania ingekuwa ni maelfu kwa maelfu.mfano kile kighorofa tu cha kariakoo floors nne kilichoangu kilichukua wiki tatu kwenye uokoaji na vifo ni viliikuwa ni vingi tu.
 
Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Lile janga la moto huko California linasikitisha sana !
Duh 🙄 !
Tumuogope sana Mungu ! Kwa wale tunao muamini kuwa Yupo 😳 !
 
Back
Top Bottom