Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huoni huko mnakosema kumeendelea majanga yanatokea usiulize Tanzania imekufanyia nini jiulize ww mropokaji umeifanyia nini Tanzania
Hao ndio wapinzani wakubwa wa mabadiliko ya tabia ya nchi....wanavuna walichopandaKarma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Wachimba chumvi bwana..Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
Hiyo radio mbao yako na hicho kioo chako hakijawahi kutangaza lawama zinazomwangukia gavana wa county ya California?Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
ONGELEA LILE JENGO LILILOSHUKA KARIAKOO KAMA MFANO,THEN UONE SHIDA NI WANANCHI AU SERIKALI.Watanzania mnaangalia udhaifu wa viongozi lakini hamuuamgalii udhaifu wenu
sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali
uwe unatumia herufi ndogoLINI WATU WAKAPONDEA RAIS KWA SABABU YA AJALI AU TUKIO LA AJALI?
WATU HUPONDEA RAIS NA WATU WA CHINI YAKE KUTOKANA NA JUHUDI ZINAZOTUMIKA KUKABILIANA NA TUKIO LA AJALI.
NIKUPE MFANO,LILE TUKIO LA KARIAKOO,KWANZA ILE AJALI ILITOKEA KWA UZEMBE NA RUSHWA MIONGONI MWA IDARA ZA SERIKALI,PILI ILITOKEA,UOKOAJI HAUKUWA MAKINI KUWEKEZA RASILIMALI ZOTE ILI WATU WATOKE HAI.
FIKIRIA JENGO DOGO LILE,WATU WAKO CHINI SIKU 2 HAI,HATA HEWA HAWAPEWI,HUO NI UZEMBE.
KUNA WATU HAWAKUSTAHILI KUFA KWENYE ILE AJALI,ILA UZEMBE UMESABABISHA VIFO VYAO.
Watu 11 wamekufaViongozi wa marekani wangekuwa wajinga kama walivyo viongozi wa afrika hasa awamu ya sita Nchi furani kungekuwa na vifo vya halaiki.lakini kwa kuwa viongozi wa marekani ni wazalendo na wawajibikaji hakuna hata kifo kimoja kilichotokea dhidi Hilo janga la moto
😀 😀Mpe nyingine
SIO HOJA.uwe unatumia herufi ndogo
Mhhh..Karma ama moto kutoka mbinguni usiozuilika unaishangaza marekani yote na ulimwengu mzima ! Wanasema ni moto wa nyika ,lakini hapana California inachomwa na mungu ! Jitihada zote zimegonga mwamba ujuzi na uweledi wote umefika mwisho sasa moto umesambaa Kila mahali ! Magorofa makubwa na mall pamoja na masoko makubwa imebaki majivu ,California yote imeteketea tujifunze kuheshimu mungu na kuamini kwamba mungu asipoulinda mji waulindao wanakesha Bure! Ingekuwa Tanzania wandishi wetu uchwara na viongozi wa kisiasa pamoja na wanahatakati wangekuwa Wana bwabwaja ni uzembe wa serikali au rais ameshindwa kazi lakini wenzetu wametufundisha ukomavu kwamba sio Kila janga linalotokea ni uzembe wa serikali