Tetesi: Moto wafukuta ndani ya kikao cha kamati kuu ya CHADEMA

Chama cha wahuni
 
Hayo yapo Kwa wanachukua chako mapema,na pia wanavizi kuwahujumu wanao waogopa🤔
 
Mikitano halali ya vyama vya siasa je
 
😆😆😆😆 Wanadai ruzuku Ili wapate pesa ya kufanya ukarabati wa Ofisi Yao hii hapa 👇
 

Attachments

  • 20220726_180627.jpg
    23.6 KB · Views: 2
Njaa zetu zilishahama kutoka tumboni na kuishi vichwani - CDM si chama cha siasa tena ni Genge
 
Kina Lema hawakwenda twitter kwa kupenda, walipelekwa kwa lazima.

1. Wamezuiwa kufanya mikutano ya hadhara.

2. Walitishiwa maisha yao wakakimbia nchi.
 
Upuuzi mtupu. Huwezi kuwakana hao 19 halafu udai ruzuku dunia itakushangaa. Mleta mada toa upuuzi huo.
 
wewe ndo unaijua leo!sisi wengine tunaomba Mungu ajitokeze mzalendo aanzishe chama imara tuiondoe kijani 2025.hapo unatafutwa upigwaji baada ya kuona mambo mazito.kwa mantiki hiyo waiondoe hiyo kesi mahakamani wakubali yaishe sababu COVID hawachomoleki pale mjengoni mpaka 2025.
 
Mleta uzi, ukiona mtu kila wakati haachi kumsema mkeo, hata kwa ubaya, chukua tahadhari, anamtaka kimapenzi. Hamia huko. Sisi CCM tuko vizuri na kuondoka kwako hakuna madhara.
 
Ruzuku haina uhusiano wa moja kwa moja na covid 19. Ruzuku inatokana na asilimia ya kura za urais alizopata Lisu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…