Tetesi: Moto wafukuta ndani ya kikao cha kamati kuu ya CHADEMA

Ruzuku haina uhusiano wa moja kwa moja na covid 19. Ruzuku inatokana na asilimia ya kura za urais alizopata Lisu.
Kwa points kama hizi ndio utagundua mleta tetesi anatuona sisi wote kama mafala wa uvccm.
Ni ujinga mkubwa kutunga uongo dhidi ya chama kikubwa na kinachoheshimika kwa misimamo thabiti na watu wengi. Hizo ni tabia za kikahaba kutunga story bila kufanya hata utafiti juu ya ruzuku inatolewa kwa sifa zipi?
Ni wajibu wetu sote kumwambia mleta mada hii na wenzake wafitini waache upu&mbavu.
 
Wee ni mpumbavu na mjinga kuwazidi wapumbavu na wajinga wengine.

Kasome maazimio ya CHADEMA hakuna upuuzi na ujinga wako huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…