ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,977
- 2,200
Kumekucha wakuu, game ya hip hop bongo imekazaa sasa maana kila kukicha ni battle after battle hii ni battle ya pili sasa baada ya ile ya msanii wa twitter "wakazi" dhidi ya king from salasala "Godzilla"
Imezoeleka kwa msanii Nay wa mitego kutoa nyimbo za mipasho na michambo dhidi ya wasanii wenzie, kama kawaida yake juzi tu hapa ametoa ngoma yake imejaa mipasho haswaaaaa
wimbo huo wa Nay kaupa jina la Moto, umemwingiza cha "kike" kwani amejaribu kumgusa na kumdis Young Killa msodoki
Hivyo young killa kaamua kuuzima moto wa mabua uliowashwa na Nayma wa mitego kutoka manzese
kiukweli Young kila kamaliza kabisa na ngoma ya "True boya"
nay ni boya kweli, yaaani habadiliki na hajielewi kile anachokifanya kwani mziki anaoufanya kila nyimbo yake haina jipya kabsa
amewasha moto wa mabua na sasa umezimwa, mwanaume gani wewe Nay unachamba zaidi ya Mange Kimambi
Imezoeleka kwa msanii Nay wa mitego kutoa nyimbo za mipasho na michambo dhidi ya wasanii wenzie, kama kawaida yake juzi tu hapa ametoa ngoma yake imejaa mipasho haswaaaaa
wimbo huo wa Nay kaupa jina la Moto, umemwingiza cha "kike" kwani amejaribu kumgusa na kumdis Young Killa msodoki
Hivyo young killa kaamua kuuzima moto wa mabua uliowashwa na Nayma wa mitego kutoka manzese
kiukweli Young kila kamaliza kabisa na ngoma ya "True boya"
nay ni boya kweli, yaaani habadiliki na hajielewi kile anachokifanya kwani mziki anaoufanya kila nyimbo yake haina jipya kabsa
amewasha moto wa mabua na sasa umezimwa, mwanaume gani wewe Nay unachamba zaidi ya Mange Kimambi