Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,327
Walianza hivi; 1Pedrosa, 2Lorenzo 3MM 4Rossi, baada ya race kuanza tu kama kawa Lorenzo ni mzuri sana kwenye kuanza, kaongoza kama lap 2 hivi nyuma yake akiwa the doctor, the doctor kapita na anaongoza nyuma yake mchuano mkali kati ya MM na Lorenzo.
Huko garage watu wanaandaa bikes nyingine kwa sababu ya mvua inayotegemewa kunyesha muda wowote
Haya Lorenzo yuko nafasi ya nne, Pedrosa-3, MM-2, the doctor anawaburuza
Huko garage watu wanaandaa bikes nyingine kwa sababu ya mvua inayotegemewa kunyesha muda wowote
Haya Lorenzo yuko nafasi ya nne, Pedrosa-3, MM-2, the doctor anawaburuza