DMussa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 1,310
- 296
The Doctor anakwenda Ujerumani weekend hii akiwa na smile tele, ni baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili na Yamaha....
VR46 yuko poa ila nadhani sababu ya umri kapunguza yale makeke ya enzi zake.
Weekend hii nahisi MM 93 atachukua 9th win.... Honda Repsol wako vizuri sana.


