Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Unaongea pumba nani A town anaweza lazi lyrics kama stereo nikki wa pili au unafikiria kwa kutumia makalio watu wazima kina chindo jcb Wana respect kwa nikki
 
Unaongea pumba nani A town anaweza lazi lyrics kama stereo nikki wa pili au unafikiria kwa kutumia makalio watu wazima kina chindo jcb Wana respect kwa nikki
Acha ushamba wewe unayijua hip hop kwanza. Usikute nabishana na mzaramo hapa
 
Hip hop ya dar ni soft?

Kama anayoimba nani?

Na hiyo hip hop hardcore ya arusha inaimbwa na nani?
Hiyo hip hop mipasho ndiyo ufananishe ya Arusha hahahaha ..nyie machali wa dar mnafeli sana hahaha
 
Diss Track ya MOTRAA ni the Best Diss haijawahi tokea hapa bongo.

Labda ile ya Roho Saba vs Fid Q ndo inayofuatia.

Hapa bila kupepesa macho kikosi Kazi wamepatwa na mhaho hawajui wajibu nini.

Jana nimepita kwenye page ya Niki mbishi naporomosha tu matusi hahahaha
 
Acha uboya wewe chalii , inaonekana kabisa hufuatilii miziki ile diss kaimba RADO
 
Mimi ni mdau wa hip hop naupenda Sana huu mziki japo sijui kuuimba kuhusu battle la weusi na kikosi kazi ni kuchangamsha gemu tu ila wote ni wakali kikosi kazi kuna rap giniazi Kama vile one incredible na Nikki mbishi nasalute kwa hawa jamaa wanajua Sana kurap

Changamoto yao kubwa wameshindwa kubadilisha vipaji vyao kua opportunity wamebaki tu kua wakali wa rap

Weusi ni Kati ya kundi Bora la hip hop kuwahi kutokea tz wako smart Sana kuanzia management life style na makila kitu wameweza kubadili vipaji vyao kua fursa wameweza kuingia sokoni na kulisoma soko lipoje wamekuja na rap yao ambayo wengi wananiita soft unakuta nyimbo zinapigwa club na watu wanavaibu imewasaidia Sana kupiga hatua kimaisha

Kuhusu diss track ya Motra na cotex Motra kapiga Sana bars mle ndani nazani ilichangiwa na maandalizi kotex kaflow kawaida Sana nazan pia alijibu kwa haraka sana sababu kotex nae no rapa mzuri Sana nimemfatilia Sana kwenye castle lite unlock jamaa ana flow Kali Sana

By the way tamaduni Kuna vichwa vikali Sana I appreciate ila wajitahidi Sana hivyo vipaji vyao vigeuke kua fursa kwao Kamailivyo kwa weusi
 
Mtu akishasema mhamu tu namjua ni shoga kama baba levo


Nikki bora awapige block una like funny page ya msanii ili mtukane

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Diss kwa Incredible imeiuma sana tena mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…