Waaah! Ama kweli hakuna kiumbe haribifu ulimweguni kama binadamu. Yaani huwezi amini vile huwa tunatesa mapafu kwa hewa chafu toka kwa magari na viwanda.Kwa sababu magari hayapo barabarani na industries nyingi hazifanyi kazi, hewa imekuwa safi hadi mtu anaweza kuiona mount Kenya kutoka Nairobi. Tazama picha
View attachment 1426713View attachment 1426714View attachment 1426715View attachment 1426716
Tony umesema ukweli kuwa huwa mnawaambia mabeberu njoo Kenya uone mlima Kilimanjaro. Basi ile ndege mliyong'oa viti virudisheni ibebe abiria maana watalii wataongezeka.Sasa kitu tunachostahili kufanya ni kupiga picha kama hii lakini ya mount Kilimanjaro na kutuma picha hiyo kwa wazungu na kuwaambia waje Kenya kutazama Mount Kilimanjaro na mount Kenya kwa pamoja. 😉😁😁😁
😀😀😀😀Sasa kitu tunachostahili kufanya ni kupiga picha kama hii lakini ya mount Kilimanjaro na kutuma picha hiyo kwa wazungu na kuwaambia waje Kenya kutazama Mount Kilimanjaro na mount Kenya kwa pamoja. 😉😁😁😁
Huo mlima upo mkoa gani hapo Kenya.Kwa sababu magari hayapo barabarani na industries nyingi hazifanyi kazi, hewa imekuwa safi hadi mtu anaweza kuiona mount Kenya kutoka Nairobi. Tazama picha
View attachment 1426713View attachment 1426714View attachment 1426715View attachment 1426716
Mount Kenya ni kubwa after Mount Kilimanjaro? In AfricaThe city bettween two of the largest mountains in Africa
mlima Meru hauonekani wakuu?
Alowaloga kinya banaSasa kitu tunachostahili kufanya ni kupiga picha kama hii lakini ya mount Kilimanjaro na kutuma picha hiyo kwa wazungu na kuwaambia waje Kenya kutazama Mount Kilimanjaro na mount Kenya kwa pamoja. 😉[emoji16][emoji16][emoji16]
Angalia huo mlima uko wap....!! Najua ramani hujawai jua kusoma au huko KenChina hakuna somo la geographySasa kitu tunachostahili kufanya ni kupiga picha kama hii lakini ya mount Kilimanjaro na kutuma picha hiyo kwa wazungu na kuwaambia waje Kenya kutazama Mount Kilimanjaro na mount Kenya kwa pamoja. 😉[emoji16][emoji16][emoji16]