Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Ligi yenu ya timu mbili ndio nuksi au sio ?
Hata Epl mambo ni hivyohivyo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi yenu ya timu mbili ndio nuksi au sio ?
hivi wewe una akili ?
lini barcelona au madrid kamaliza unbeaten kwenye ligi yao ?
kwanini wasifungwe ??
hawa madrid wakacheze kila wiki mikiki mikiki ya epl msimu mmoja wataomba poo
yaani ucheze wiki hii na everton wiki ijayo na crystal wiki ijayo na stoke wiki inayofuata na Arsenal kisha man u kisha unasubiri man cty chelsea liverpool spurs ndio wasifungwe ??
kufungwa kunatokana na kuchoka kwa wachezaji sio kiwango kibovu upo hapo ?
Hata Epl mambo ni hivyohivyo tu.
Jamani ligi ya EPL wanatumia NGUVU kubwa sana sana kuitangaza lakini hamna kitu,angalia vitu Vichache tuu,Tangu wewe unaesoma ujumbe huu upate akili nani kutoka EPL amewahi Kuwa Mchezaji Bora wa Dunia au hata Ulaya? Wote wanatoka Spain na Italy,mpira wa Spain unakupa nafasi ya kuweza kuonyesha kipaji chako,England ni Mbio tuuu mwanzo mwisho,uki jaribu kupunguza wawili watatu either utatolewa Nje Kuwa unawachelewesha wenzako "kukimbia"Mbele,kwa Uchache Johan Kruff,Frank Rijkaad,George weah Opong,Rivaldo,Ronaldo de Lima,Fabiola Canavaro,Jurgen klinsman,Ruud voller,Zinedine Zidane,Ronaldinho,Pele Maradona,Zico,Lionel Mess na Christiano Ronaldo!wao Waingereza ni kupiga Kelele tuu kwenye Vyombo Vya habari!hata UEFA champions league,Madrid 10 times,AC Milan 7 times,ndo wanakuja Liverpool (EPL) 5 nk.timu za Taifa hivyo hivyo sasa Tuangalie wapi tena?,uje hata Makocha bora na wengi(kwa Utaifa wao)ni Waitaliano na Spain.Sijui Tuangalie wapi tena!
Italy ndo Ana uwezo wa kumsimamisha Spain!
siipendi yanga wala simba kwa sababu ya ligi yao kama Hispania. Afadhal England wakat wa utoto wangu Newcastle wakiwa mabingwa..Liverpool Nk Leo chelsea wageni.
Siyo kila mwaka mkuu, labda kama umeanza kutazama mashindano hayo hivi karibuni! Chelsea ilimfunga barca kwao na ikamwondoa kwenye mashindano! Na mwaka ule chelsea walibeba ndoo ya UEFA!
Du! mansakankanmusa una umri gani mkuu? Unajua Newcastle walichukua lini ubingwa wa England? 1927! Liverpool nao mwisho kuona ndoo ilikuwa msimu wa 1989-1990. Ina maana toka EPL ianze mwaka 1992, Newcastle na Liverpool hawajawahi kutwaa ubingwa wa England.
Ndo maana kuna mashindano ya kukutanisha teams za league zote, yaani wababe wa league zote Ulaya wanakutana katika league inayoitwa UEFA CHAMPIONS LEAGUE, hapo mnasemaje wadau?
Ujue kuna tofauti kubwa sana ya kucheza mechi 14 ambazo huchezwa kila baada ya wiki moja na zile 38 zinazochezwa kila wikend ambazo sometimes huchezwa hadi katikati ya wiki.
hebu nielewe mkuu nikikwambia barca ni hvi ishamfunga city barca ikamfunga chelsea barca ikamfunga arsenal barca pia imemfunga man u sasa ukintajia oooh city wap na wap mara chelsea ambaye mechi ya mwisho na madrid kala 3-0.sasa nazani umebielewa nitajie timu moja ya england ambayo imeshawahi kuifunga barca atletico na madrid ili nihamie NASUBIRIA JIBU
Fafanua mkuu uko upande gani unaouamini wa epl ligi bora au la liga maana hzo mech 38 hata spain hivohvo pia kucheza katkat ni hata spain hvohvo
Kaka ligi ya uingereza ngumu kinachotokea sasa hata Spain kishawahi kuwakuta kutoingiza timu hata moja robo fainali.
Mkuu huo ndo ukweli,timu iliyofungwa na r,madrid gori9, ndo iliyofungwa barc gori8,wachezaji wake hawajalipwa mishahala yao km miezi5 hivi,epl ulishasikia timu imeshindwa kulipa wachezaji?
Unakijua kilichoishusha Portsmouth daraja?
mara ya mwisho spain kutoingiza hata timu moja robo fainal ni mwaka gani mkuu maana mie sikumbuki
nafikili kama sikosei ilikatagwa pointi 10 kwa kutowalipa wachexaji wake mishahara
Ref. 1976/1977.
Ndio hivyo mkuu, hizo kitu huwa zinatokeaga tu kila sehemu, Monaco kumfunga Arsenal haimaanishi ligi ya France ni bora kuliko EPL, wala Juve kumtoa Madrid pia sio ishu sana. Ebu kwa mfano kombe la UCL akichukua Juve, ndio tuseme kuwa Seria A ni bora kuliko ligi zote ulaya? Anyway mimi naona alichokizungumzia Morinho hapo juu ni ushindani, na hilo halipingiki ligi ya EPL ina ushindani mkubwa kuliko La liga.