Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mwalimu, without CCM in the bandwagon hakuna mjadala. Kama watu wanataka mabadiliko ya Katiba ni lazima waanzie na CCM, ni jinsi gani tunaweza kuishawishi CCM kuwa mabadiliko ya Katiba yatakuwa for their own interests? Ukiweza kuja na hoja ya kuwashawishi CCM basi hatumuhitaji Mwinyi. Sasa hivi watu wakitaka kuzungumzia Katiba wanaruhusiwa na hata kufanya semina za "mabadiliko ya Katiba".
Lakini vyote hivyo havina nguvu kwani havijaonesha bado kwanini CCM ibadili Katiba na kutengeneza mazingira ya Chama hicho kuondolewa madarakani.
Lakini vyote hivyo havina nguvu kwani havijaonesha bado kwanini CCM ibadili Katiba na kutengeneza mazingira ya Chama hicho kuondolewa madarakani.