Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mama Nagu kasema wazi hakuna cha Katiba mpya! ila CC wakisema wanataka Katiba mpya guess what...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran Bwana Kilitime,kwa kuweka hapa wajumbe wa CC ambao naona ndio Chombo chenye nguvu kwenye Utawala wa nchi.Katika Orodha yako naona kuna baadhi ya WAJUMBE ushiriki wao sio active kutokana na shughuli zao, ama kustaafu kwa hiari siasa na masuala yahusuyo Uongozi:
1; Dr.Asha Migiro - Yupo New York na masuala ya UN.
2; Dr.Salim A. Salim - Ametangaza kupumzika shughuli za Uongozi.
3; Amina s. Ali - Yupo New York muakilishi wa AU huko US/UN
4; Abihud Maregesi - kuna taarifa isiyothibishwa kuwa kafukuzwa
ndani ya CCM.
Mwawado,
Hawa wapo hadi baada ya uchaguzi huu wa mwaka huu (2007)... Dr. SAS kwa mfano amesema hatagombea hamaanishi kwa sasa hayupo...
By the way, kujua nchi kweli yaweza kurudishwa kwenye mstari ni kwa kuangali kama hawa waheshimiwa ni wasafi wote, kama ndio then at least naweza pata usingizi leo.
Kilitime,
Hivi huyu Rostum na Lowassa wameingiaje humo? Just curious.
Ahsante!
Kama maoni yangu yatakuwa ni marudio ya yaliyokwisha zungumzwa, basi naombeni samahani. Katiba yetu hii inatoa madaraka makubwa sana kwa viongozi na haitoi mwanya wa kudhibiti madaraka hayo, jambo hili linachangia sana kurudisha nyuma maendeleo ya nchi hii.
Maoni yangu kuwa kuwa, tutafute nafasi ya kuwa-court wana CCM maarufu wanaoweza kusupport ukweli huu; ninadhani (in my naivity) kuwa Rais Mwinyi, Jaji Warioba, Dr. Salim Ahmed Salim ni kati ya wana CCM wachache wanaoweza kusupport jambo hili. Sina uhakika na msimamo wa Mzee Kawawa katika swala la kubadilisha katiba ambayo iliandikwa chini ya uangalizi wake. Vile vile tuwacourt majaji- wasitaafu wote. Swala la kujadili hapa labda liwe ni namna gani tuwacourt watu hawa na kuwaweka katika ngalawa moja ya kudai mabadiliko haya ya katiba.
Kilitime,
Je, kuna wajumbe ndani ya hiyo kamati kuu ambao sio Member wa CCM?