William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mkuu Zitto, naona umekuja na gia kubwa sana, tuliza boli mkuu mimi sina jazba na wewe, punguza munhari,
Nilishiriki kikako cha kamati, Peacock, ambako washiriki wote tulitoa mawazo yetu na kufanyiwa ukarabati wa pamoja, ni forum ambayo haikuwa ya upinzani peke yao na ulifanyika chini ya mwenyekiti wake Mwana sheria wa kujitegemea Bwana Michael, na kila msihiriki alipewa nafasi ya kuihakiki kabla ya kuisha kwa forum, au seminar mkuu na kila mshiriki akaongeza au kupunguza anayoyataka,
Anyway karibu tena mkuu, hapa giladi tukate ishus ila tu punguza munhari na jazba, maana hizi topic ni muhumu sana kwa taifa letu, na tunataka ziendelee kukatwa kiroho mbaya, sasa ukianza munhari utaharibu mkuu topics mkuu, jaribu kuuheshimu ule ujumbe wa Mwalimu Kichuguu kuwa cool down mkuu!
Ahsante, ila tutaendelea tu kutoa maoni yetu kuhusu katiba kama tulivyoanza, na wewe kama kiongozi unayeheshimika ni vyema ukachangia zaidi kuliko kujaribu kuharibu topic mchango wako ni muhimu sana kwenye hili la katiba! Tumekupokea kwa hesima kubwa sana mkuu na tunaheshimu sana kurudi kwako ndani ya forum, ila usianze kuharibu mapema mkuu, punguza jazba!
Ahsante Mkuu!
Nilishiriki kikako cha kamati, Peacock, ambako washiriki wote tulitoa mawazo yetu na kufanyiwa ukarabati wa pamoja, ni forum ambayo haikuwa ya upinzani peke yao na ulifanyika chini ya mwenyekiti wake Mwana sheria wa kujitegemea Bwana Michael, na kila msihiriki alipewa nafasi ya kuihakiki kabla ya kuisha kwa forum, au seminar mkuu na kila mshiriki akaongeza au kupunguza anayoyataka,
Anyway karibu tena mkuu, hapa giladi tukate ishus ila tu punguza munhari na jazba, maana hizi topic ni muhumu sana kwa taifa letu, na tunataka ziendelee kukatwa kiroho mbaya, sasa ukianza munhari utaharibu mkuu topics mkuu, jaribu kuuheshimu ule ujumbe wa Mwalimu Kichuguu kuwa cool down mkuu!
Ahsante, ila tutaendelea tu kutoa maoni yetu kuhusu katiba kama tulivyoanza, na wewe kama kiongozi unayeheshimika ni vyema ukachangia zaidi kuliko kujaribu kuharibu topic mchango wako ni muhimu sana kwenye hili la katiba! Tumekupokea kwa hesima kubwa sana mkuu na tunaheshimu sana kurudi kwako ndani ya forum, ila usianze kuharibu mapema mkuu, punguza jazba!
Ahsante Mkuu!