Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mkuu
Wananchi ndo wakulaumiwa, wananchi wakiipa kura upinzani 90% na ccm 10% nafikiri wataiba wee mpaka watashindwa kuiba kura na hatimaye upinzani kushika hatamu. Sijasoma katiba hasa kwenye hiyo kipengele sijui inasema je?
kwa vile unaweza kuandika ina maana unaweza kusoma; so usome utujulishe kinasemaje.