Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Kwa tafsiri hii ya ujamaa katika katiba yetu, sioni kama ina tatizo kwa neno ujamaa kuendelea kuwapo kwenye katiba:
ndugu yangu,
Unachoona kwenye definition hiyo ya "Ujamaa" ni kiraka. Nimeangalia tena kwenye definitions za maneno yaliyotumika katika katiba ya kiingereza, hakuna maana ya "Socialism" ila wamerudia tena "Ujamaa" and "Ujamaa na kujitegemea" kwa kiswahili vile vilem wakati maneno yale hayakutumika katika hiyo katiba ya kiingereza.
Neno Ujamaa au Socialism linajulikana na kuna vitabu vingine vinavyoongelea mfumo wa kijamaa, kwa hiyo kuwa na neno hilo katika katiba halafu tukalipaka rangi nyingine liwe na maana tofautio na linavyojulikana ni makosa, ; hiyo ni kutaka kuchanganya wananchi wasiielewe vizuri katiba yao.