MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
Eti kuna mtu anasema kuwa CCM na JK ni watu wanaofanya maamuzi magumu, Hivi hata neno lenyewe maamuzi magumu si la Dr. Slaa alipokuwa akiomba watu wawajibishwe kwa Ufisadi!
Sasa suala dogo tu kama hili bado wanasubiri mamboyawe vinginevyo (Japo hautuombi na ni mbali sana kwetu) Ndo waanze kufikiria.
Ni chama cha Makondoo kwelikweli,
Sasa suala dogo tu kama hili bado wanasubiri mamboyawe vinginevyo (Japo hautuombi na ni mbali sana kwetu) Ndo waanze kufikiria.
Ni chama cha Makondoo kwelikweli,