redSilverDog
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 470
- 76
Utafiti nilioufanya NIMEGUNDUA watanzania takribani 70% hawajui KATIBA ya nchi inasema nini! 50% hawajawahi hata kuishika KATIBA hii tuliyonayo!.
Je, nini sababu za watanzania kutokuisoma KATIBA? Wakati inauzwa kwa Tsh 5000/=tu? Je, kuna haja ya kuwauliza kama wanataka KATIBA MPYA wakati iliyopo hawaisomii? Nini kifanyike ili kujenga UTAMADUNI wa kusoma KATIBA?
Ni kweli kabisa watanzania wengi hawajui katiba yao. Ila, kwa mtazamo wangu, kujua nini kifanyike ili kuondosha hio hali, kuna umuhimu wa kufanya Uchunguzi mwengine. Kama umeweza kufanya uchunguzi ukajua idadi, sasa ni wakati wakajua ni sababu zipi zinazopelekea hii hali, 'Qualitative research'.
Kutoka hapo sasa tunaweza tukatambua njia au nini cha kufanya kuondosha hii hali.