Movements za striker wa Simba zinafanana kabisa na Mshambuliaji wa Juventus, Dusan Vlahovic!! Ni suala la muda tu awadhihirishie ubora wake

Movements za striker wa Simba zinafanana kabisa na Mshambuliaji wa Juventus, Dusan Vlahovic!! Ni suala la muda tu awadhihirishie ubora wake

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Bila ya salamu!!

Toka karne hii ya 21 ianze hakujawahi kutokea katika ligi kuu ya soka ya Tanzania kupata mshambuliaji mwenye movements bora ndani ya eneo la kumi na nane kama alivyo mshambuliaji wa miamba ya soka ya Tanzania, Simba Sc,Mheshimiwa Dejan Georgijevic. Sehemu pekee ambapo nimeshuhudia striker mwenye movements hizi ni pale jijini Turin,naizungumzia miamba ya soka ya Italy,Juventus wakiwa na mshambuliaji mahiri raia wa serbia,Dusan Vlahovic.

Ni suala la muda tu kocha Zoran Maki kumpa dakika 90 mshambuliaji huyo ili adhihirishe ubora wake.

Nikiripoti kutoka jijini Bergamo nchini italy, ni mimi mchambuzi wenu Tipst.

Hongereni azam kwa kutuwezesha Diasporas kucheki ligi kuu ya Tanzania kupitia Azam max.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Tatizo la Simba hawana mtoa pasi mzuri. Yule jamaa anachomoka ila pasi hazifiki kwa wakati au hazifiki kabisa
Asante kwa kuwa na jicho la tai, i wish simba ingekuwa na aina ya midfielder kama Fei toto au Aziz ki...midfielders wasiokuwa na mbwembwe nyingi pale kati...kazi yao iwe ni kupiga penetration passes tu kwenda kwa striker. Dejan ni aina ya striker anayependa kucheza between the lines of central defenders, ana kasi na positioning yake ipo poa sana ila hakuna kiungo anayeweza kufanya hivyo pale simba.


Viungo wa simba wanapenda kucheza pembeni ya kiwanja au kukaa na mpira kwa muda mrefu pasi na kupeleka mipira kwa strikers kwa wakati.
 
Wajirekebishe haraka
Asante kwa kuwa na jicho la tai, i wish simba ingekuwa na aina ya midfielder kama Fei toto au Aziz ki...midfielders wasiokuwa na mbwembwe nyingi pale kati...kazi yao iwe ni kupiga penetration passes tu kwenda kwa striker. Dejan ni aina ya striker anayependa kucheza between the lines of central defenders, ana kasi na positioning yake ipo poa sana ila hakuna kiungo anayeweza kufanya hivyo pale simba.


Viungo wa simba wanapenda kucheza pembeni ya kiwanja au kukaa na mpira kwa muda mrefu pasi na kupeleka mipira kwa strikers kwa wakati.
 
Asante kwa kuwa na jicho la tai, i wish simba ingekuwa na aina ya midfielder kama Fei toto au Aziz ki...midfielders wasiokuwa na mbwembwe nyingi pale kati...kazi yao iwe ni kupiga penetration passes tu kwenda kwa striker. Dejan ni aina ya striker anayependa kucheza between the lines of central defenders, ana kasi na positioning yake ipo poa sana ila hakuna kiungo anayeweza kufanya hivyo pale simba.


Viungo wa simba wanapenda kucheza pembeni ya kiwanja au kukaa na mpira kwa muda mrefu pasi na kupeleka mipira kwa strikers kwa wakati.
Aisee huu ni ukweli kabisa, wabadili tabia zao!
 
Bila ya salamu!!

Toka karne hii ya 21 ianze hakujawahi kutokea katika ligi kuu ya soka ya Tanzania kupata mshambuliaji mwenye movements bora ndani ya eneo la kumi na nane kama alivyo mshambuliaji wa miamba ya soka ya Tanzania, Simba Sc,Mheshimiwa Dejan Georgijevic. Sehemu pekee ambapo nimeshuhudia striker mwenye movements hizi ni pale jijini Turin,naizungumzia miamba ya soka ya Italy,Juventus wakiwa na mshambuliaji mahiri raia wa serbia,Dusan Vlahovic.

Ni suala la muda tu kocha Zoran Maki kumpa dakika 90 mshambuliaji huyo ili adhihirishe ubora wake.

Nikiripoti kutoka jijini Bergamo nchini italy, ni mimi mchambuzi wenu Tipst.

Hongereni azam kwa kutuwezesha Diasporas kucheki ligi kuu ya Tanzania kupitia Azam max.
Asee huu ni upumbavu mkubwa.

Mpira sio kuvizia,wala movement,mpira ni uwezo wa kuudhibiti unapoupata na kuupeleka panapohusika.
Sio unapata mpira huwezi hata kuu control halafu mnaleta ujinga hapa eti movement

Huo muda wa kusubiri movement wengine wanashinda ni upumbavu.Dejan hafai hata kucheza ligi daraja la tatu
 
Kuna marekebisho yanatakiwa yafanyike simba, midfielders zinapenda sana kukaa na mpira kwa muda mrefu bila ya kupiga pasi mpenyezo kwa strikers, kocha amtumie sana banda, atawasaidia
Jicho lako linaona kama Mimi ....tucheze total football Tu ....pasi mpenyezo, vipass cross , viungo wawahishe mpira ....
 
Back
Top Bottom