Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Simba itafaidika na mikimbio yake. Na Simba walihitaji mikimbio na si mfungaji.Bila ya salamu!!
Toka karne hii ya 21 ianze hakujawahi kutokea katika ligi kuu ya soka ya Tanzania kupata mshambuliaji mwenye movements bora ndani ya eneo la kumi na nane kama alivyo mshambuliaji wa miamba ya soka ya Tanzania, Simba Sc,Mheshimiwa Dejan Georgijevic. Sehemu pekee ambapo nimeshuhudia striker mwenye movements hizi ni pale jijini Turin,naizungumzia miamba ya soka ya Italy,Juventus wakiwa na mshambuliaji mahiri raia wa serbia,Dusan Vlahovic.
Ni suala la muda tu kocha Zoran Maki kumpa dakika 90 mshambuliaji huyo ili adhihirishe ubora wake.
Nikiripoti kutoka jijini Bergamo nchini italy, ni mimi mchambuzi wenu Tipst.
Hongereni azam kwa kutuwezesha Diasporas kucheki ligi kuu ya Tanzania kupitia Azam max.
Labda Dusian wa TurianiBila ya salamu!!
Toka karne hii ya 21 ianze hakujawahi kutokea katika ligi kuu ya soka ya Tanzania kupata mshambuliaji mwenye movements bora ndani ya eneo la kumi na nane kama alivyo mshambuliaji wa miamba ya soka ya Tanzania, Simba Sc,Mheshimiwa Dejan Georgijevic. Sehemu pekee ambapo nimeshuhudia striker mwenye movements hizi ni pale jijini Turin,naizungumzia miamba ya soka ya Italy,Juventus wakiwa na mshambuliaji mahiri raia wa serbia,Dusan Vlahovic.
Ni suala la muda tu kocha Zoran Maki kumpa dakika 90 mshambuliaji huyo ili adhihirishe ubora wake.
Nikiripoti kutoka jijini Bergamo nchini italy, ni mimi mchambuzi wenu Tipst.
Hongereni azam kwa kutuwezesha Diasporas kucheki ligi kuu ya Tanzania kupitia Azam max.
Kidogo kidogo utaelewa tuLabda Dusian wa Turiani
Kwa uzembe mkubwa wa mabeki wa kagera umempa kichwa mdgungu, subiri mechi zijazo kama mjaanza kumkataaKidogo kidogo utaelewa tu
Bila wachezaji kufanya makosa unafikiri magoli yangekuwa yanafungwa? Akili za Mashabiki wa utopolo mnazijua wenyewe.Kwa uzembe mkubwa wa mabeki wa kagera umempa kichwa mdgungu, subiri mechi zijazo kama mjaanza kumkataa
MBUMBUMBU wamembumbukaBila ya salamu!!
Toka karne hii ya 21 ianze hakujawahi kutokea katika ligi kuu ya soka ya Tanzania kupata mshambuliaji mwenye movements bora ndani ya eneo la kumi na nane kama alivyo mshambuliaji wa miamba ya soka ya Tanzania, Simba Sc,Mheshimiwa Dejan Georgijevic. Sehemu pekee ambapo nimeshuhudia striker mwenye movements hizi ni pale jijini Turin,naizungumzia miamba ya soka ya Italy,Juventus wakiwa na mshambuliaji mahiri raia wa serbia,Dusan Vlahovic.
Ni suala la muda tu kocha Zoran Maki kumpa dakika 90 mshambuliaji huyo ili adhihirishe ubora wake.
Nikiripoti kutoka jijini Bergamo nchini italy, ni mimi mchambuzi wenu Tipst.
Hongereni azam kwa kutuwezesha Diasporas kucheki ligi kuu ya Tanzania kupitia Azam max.