Yeah hiyo flash aliyokimbia akajikuta ulimwengu mwingine ndio Justice League: The Flashpoint Paradox halafu ile ambayo heroes ndio maadui inaitwa Justice League: Crisis on Two Earths.Hivi flashpoint Paradox ndiye ile Flash alikimbia akaenda kwenye Alternative Verse ambayo Batman ni mzee na Clark Kent alikuwa amefungiwa na US Army na Red Hood yumo ?? Halafu kuna nyingine Super Man ndiye Villain anaongoza The Crime Syndicate.....
Anhaaa yes yes......Kuna jamaa yangu moja hivi alikuwa anapenda sana DC COMICS alikuwa anazo nyingi kweliYeah hiyo flash aliyokimbia akajikuta ulimwengu mwingine ndio Justice League: The Flashpoint Paradox halafu ile ambayo heroes ndio maadui inaitwa Justice League: Crisis on Two Earths.
Hahahahaha, lilikuwa lina ajenda za kimafia sana. Sijui kwaninj waliikatisha aisee!Namkumbuka huyo catherine si ndio T1000 mwenyewe!.
Hahah.. me kuna kipindi nilikuwa nazo nyingi sana hadi zile Teen Titans na Young Justice seriesAnhaaa yes yes......Kuna jamaa yangu moja hivi alikuwa anapenda sana DC COMICS alikuwa anazo nyingi kweli
hahaa copy ya preacher ikanza kukemea pepo abomination abomination..., ivi ndio wamemaliza au wanarudi tena.Transformers vipi unaionaje.Tatizo copy zilikuwa zinajua zimetoa copy kumbe nazo copy!!...Kwahyo kukutana na Original ikashindwa kukubali yenyewe nayo ni copy!!..
Transformer zimetulia sana!..hua naipenda Revenge of the moon zaidi!..hahaa copy ya preacher ikanza kukemea pepo abomination abomination..., ivi ndio wamemaliza au wanarudi tena.Transformers vipi unaionaje.
Huwa simchoki yule jamaa asee anafurahisha sanaSparrow mjinga lakini ana akili sana akibananishwa!!...Baada ya kupata ujumbe wa salazar akawa mpolee[emoji23]
Yaah nilikua namaanisha iyo ya 6, wanakatisha stimuseason 5 ilikuwa ile Michael anakufa, season six ndio hii mpya mkuu!..
Alibaba aliziharibu sana kuzitoa nusu nusu
Yep, vin diesel kutoka f1 hadi fate (f8)FF hii hii ya vin diesel?..Sikujua ina series au unaiongelea hii muendelezo
FF3 ile wanaiba Vault la hela ndio nilikubali mishe yao!... Jamaa kuondoka na contena nzima dadeqqYep, vin diesel kutoka f1 hadi fate (f8)
hahaaaa. eti umezidi!!Hahahaha mimi mdau sana sanaaa,
Nakumbuka kuna kipindi niliwahi hadi kugombana na mtu fulani nyumbani wakisema nimezidi.
Lilinifurahisha sana ile movie. lilikuwa kama libadass fulani la haja. Kidogo nidhani ile misheni itashindwa.Hahahaha ila Darth Vader ni nyang'au aiseee!
Kwenye Rogue One ya mwaka juzi nakumbuka mwishoni kabisa liliongia kuwashughulikia The Resistance....
Liliwashikisha kichapo cha haja huku linatembea kama libwana Harusi fulani hivi...Wanapiga risasi linatumia Force Freeze kuzuia. Hata Chancellor Palpatine hafiki kwa Vader!
Acha kabisa mkuu...hahaaaa. eti umezidi!!
Joker mtata sana. Unaikubali joker ya Jack nickolson au ya ledger? why so serious??Movie za Sci-Fi nazozikubali ni nyingi sana sanaa sampuli chache ni hizi:
1.Batman:The Dark Knight (Joker tu ndiye ananiua)
2.Terminator 2: Judgement Day
3.Total Recall (Colin Farrel)
4. Pitch Black: Chronicles of Riddick
5. Star Wars- Revenge of the Sith
6. Equillibrium
Hugo weaving? kauzu sana. nilishangaa movie moja amecheza kama mchelemchele.Hahaha, nimeziona miaka mingi iliyopita.
Agent Smith namkumbuka vizuri shughuli yake!
View attachment 732078
Stargate kali na ina akili sana.Nilianza zifatilia hizo lakini ikafika kipindi nikapoteza External yangu, kuna hizo na zile stargate series!..
Hahahaha mlango ulivyojifunga pale vijamaa vilipiga kelele...!Lilinifurahisha sana ile movie. lilikuwa kama libadass fulani la haja. Kidogo nidhani ile misheni itashindwa.
Hugo aliua sana kwenye V for Vendetta...!Hugo weaving? kauzu sana. nilishangaa movie moja amecheza kama mchelemchele.
kuna movie ina Priscilla Queen of the desert wamechezea kwao Auatralia. kacheza kimchelemchele. ila ni movie nzuri sana.Hugo aliua sana kwenye V for Vendetta...!
Kwenye Lords of the Rings alikuwa ni mchele mchele.....!
Ngoja niitafute mkuu....kuna movie ina Priscilla Queen of the desert wamechezea kwao Auatralia. kacheza kimchelemchele. ila ni movie nzuri sana.