Hizi sio sci-fi moviez mkuu!!mission impossible
john wick
acts of vengeance
hitman
golden circle
Evelyn salt
white house down
lone survivor
the punisher hii ni series fupi ya 2017and the like....
mtazi categorize wenyewe mi nimemaliza
Yeah wakorea wale!...comedy sana!!hahaa sex is zero si wale jamaa sijui ni wakorea, wajapani au?
hahaa!!..ile ya 3 nazani alikufa ndio wakafanya kumtengenezea body!..afu megatron afagi maana kila movie anakuwa defeated.
Hiyo watuletee muendelezo wake!...agent 48 tumuone ubabe wake naye!..Hapana jana nimeeangalia 47 Agent( HIT MAN)
Nilianza na ya kwanza juzi itabidi nitafute hizo nyingine.Pitch Black 2 hujaipenda ??
Maana ziko tatu hizi movie ??
Ya pilo ndiyo Chronicles of Riddick nzuri sana.
Ya kwanza siyo nzuri sanaa.Nilianza na ya kwanza juzi itabidi nitafute hizo nyingine.
Hivi zile star wars si zilianza zamani sana kipindi hicho ITV walikuwa wanatuonesha?Ya kwanza siyo nzuri sanaa.
Ya pili imekaa poa..
Hivi ile wamedondoka kwenye alien planet ni ya ngapi?..Ya kwanza siyo nzuri sanaa.
Ya pili imekaa poa..
ndio maana nimewaambia mzi categorize wenyewe michayo ma fiction ya kisayansi hayapandiHizi sio sci-fi moviez mkuu!!
Hatar sana kuna hii saiv naangalia imeandikwa SAW looh watu wanakatwa miguu hij mitambo ya humu balaaa sanaHiyo watuletee muendelezo wake!...agent 48 tumuone ubabe wake naye!..
Mekuelewa mkuundio maana nimewaambia mzi categorize wenyewe michayo ma fiction ya kisayansi hayapandi
Hizo ni shida wanavyouana me nishaacha kuziangalia!..sawa na zile jeeper screepers tu!.Hatar sana kuna hii saiv naangalia imeandikwa SAW looh watu wanakatwa miguu hij mitambo ya humu balaaa sana
Kuna mzee anatisha balaa kwa mission zakeee
Ya kwanza kabisa....Hivi ile wamedondoka kwenye alien planet ni ya ngapi?..
Halafu ulizifatilia movie za Alien!?
Niliioana tu kwenye PC ya mtu lakini sikuichekicasanova69, James Comey, Red Giant, Malcom Lumumba Avatar mok, Demiss hivi mmeziangalia SEX IS ZERO 1&2 ingawa sio Sci-fi!..
AVP nimeicheki bwana, yaani Hunters na ujanja wotee walikalishwa.Alien vs predator 1 na 2
mambo ya kukata shingo miguu yan uwiiii mpaka natetemekaHizo ni shida wanavyouana me nishaacha kuziangalia!..sawa na zile jeeper screepers tu!.
Ndo ile Dada anasema enemy of my enemy is my friend akaanza Ku befriend wale alliensAVP nimeicheki bwana, yaani Hunters na ujanja wotee walikalishwa.
Achana na AVP kuna zile Alien zenyewe zipo 1-3 nazani wanachoelezea ilikuaje hadi Alien wakatokea!.. zinaigizwa kwenye mothership na bimdada flani ndio alikuwa anayawezea!..Alien vs predator 1 na 2