Movie Reviews

Movie Reviews

Captain Marvel mwakani analetwa kwenye screen kwa movie yake na baadae ndio anakuja letwa kuungana na Avengers.
Spider man hawezi aga MCU sababu yeye ndio kiongozi wa kizazi kijacho cha superheroes lakini vile vile Thanos akiwa defeated na Captain Mar-vell na Doctor strange akaipata ile Infinity Gauntlet anaweza reverse Time kila kitu kikarudi kama kilivyo!. Ndio maana uliona Doctor strange alikuwa anaenda kwenye future kuangalia jinsi gani watamdefeat lakini akakuta kila moja Thanos anashinda na iliyobaki ni unless wampe anachotaka kwa kuja kumshinda baadae!.
Hiyo ya kuua nusu ya ulimwengu Thanos kafanya sana kwenye comics lakini ikawa inawezekana rudishwa!. Kuna wababe kama Beyonder, Adam warlock, The living tribunal, One above all, Molecule man wana nguvu zaidi ya ile Gauntlet.
Kuna siku moja Thanos na Adam Warlock waliingia anga za One Above all, yeye akafuta all of the Universe na kuwaacha wenyewe wawili. Wakaenda kupiga magoti kumuomba arudishe Universe, sasa akawauliza kwanini huwa wanataka kuifuta Universe wakiwa na ile Gaunlet ???
 
Kuna siku moja Thanos na Adam Warlock waliingia anga za One Above all, yeye akafuta all of the Universe na kuwaacha wenyewe wawili. Wakaenda kupiga magoti kumuomba arudishe Universe, sasa akawauliza kwanini huwa wanataka kuifuta Universe wakiwa na ile Gaunlet ???
Niliona tu The living tribunal anamuongelea huyo One above all alivyo mtata zaid ya cosmic being wote!!.. hivi ana sura!?
 
Ila wakuu Shuri na naibu spika wamefanana sana.

Aiseee, live.
Shuri.jpg

Tulia.jpg
 
Thanos ameleta mapinduzi Marvel aisee!
Universe nzima inavurugika kabisaa na kuanza upya!
sasa sijui wataleta mbabe gani baada ya Thanos!.. Halafu na DC nao wamempa deal the rock kuigiza Black Adam naona nao wanapanic kuona soko linawatupa. Sasa nao sijui wataendelea na Captain Marvel au wanabakiza Shazam pekee
 
Back
Top Bottom