MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Kuna Blade unazikumbuka ??Haha yeah huyo huyo ila ilikuwa ya kitoto sana!..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Blade unazikumbuka ??Haha yeah huyo huyo ila ilikuwa ya kitoto sana!..
Kwa wakati ule zilikuwa zinanoga sana sanaa!Haha yeah huyo huyo ila ilikuwa ya kitoto sana!..
Nazikumbuka hizo zilikuwa poa sana!. Halafu Wesley Snipes ndio alianza toka muda piga Kampeni aigize Black Panther naona wamemchinjia baharini deal!.Kuna Blade unazikumbuka ??
Mkuu Predator inarud hewani mwaka huu!. Dude limerudi mjini!😀Kwa wakati ule zilikuwa zinanoga sana sanaa!
Woyooo,Mkuu Predator inarud hewani mwaka huu!. Dude limerudi mjini!😀
Daaaah live aisee ???Nazikumbuka hizo zilikuwa poa sana!. Halafu Wesley Snipes ndio alianza toka muda piga Kampeni aigize Black Panther naona wamemchinjia baharini deal!.
Hulk alipigwa na Thanos ngumi ya shingo hadi akasinyaa kimya. Bwaahahah, ikafika kipindi Dr Banner akitaka kumwachia Hulk anakataa kutoka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu hapo Thanos hajavaa Infinity Gauntlet....@palantirSijaicheki infinity war. Hapa mnanitamanisha kichizi.
Lile jinga sana, yaani ni lijinga kweli. Nguvu tu za mwilini ndiyo linazo lakini kichwani ni hamnazo kabisaHivi Drax the destroyer ana nguvu gani unajua huwa simuelewi!..
Huwa nahisi yule jamaa in real life atakuwa ni psychopath.
Nilicheka sana, Hulk aliogopa balaa akaona ameingia siko.. iron man anamkejel hulk apigane na Ebony MawHulk alipigwa na Thanos ngumi ya shingo hadi akasinyaa kimya. Bwaahahah, ikafika kipindi Dr Banner akitaka kumwachia Hulk anakataa kutoka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu hapo Thanos hajavaa Infinity Gauntlet....@palantir
The Black Order wana shughuli nzito aisee....Hakuna Villain Team kama ile aisee!Nilicheka sana, Hulk aliogopa balaa akaona ameingia siko.. iron man anamkejel hulk apigane na Ebony Maw
Star lord anatakiwa akutane nao..The Black Order wana shughuli nzito aisee....Hakuna Villain Team kama ile aisee!
Wale siyo kabisa, Ronin ndiyo yanamwogopa.Star lord anatakiwa akutane nao..
Predator pekee inatoka september 14 lakini kabla ya hiyo kuna Mission Impossible: Fallout - July 27 ni boom juu ya boom!. 😀Woyooo,
Ni Predetor peke yake au ni AVP ??
Nadhani hawakuona kama ataweza ishi na brand ya Black Panther ukiangalia umri umeenda!. Kabla ya hapo hadi script alikuwa kapewa, ilikuwa ishu ya bajeti ya movie lakini ilipopatikana wakamtosa.Daaaah live aisee ???
Kwanini walimkatalia umri au ??
[emoji23][emoji23][emoji23] baada ya hapo anajitetea ety kachoka kumsaidia bruce banner. Tony kama kawaida yake "don't embarrase me infront of my magician!".Hulk alipigwa na Thanos ngumi ya shingo hadi akasinyaa kimya. Bwaahahah, ikafika kipindi Dr Banner akitaka kumwachia Hulk anakataa kutoka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu hapo Thanos hajavaa Infinity Gauntlet....@palantir
Hata starlord nae namuona msumbufu tu, baada ya thor kuja kwenye ndege yao jamaa nae akajifanya kuota bezi.[emoji23]Lile jinga sana, yaani ni lijinga kweli. Nguvu tu za mwilini ndiyo linazo lakini kichwani ni hamnazo kabisa
Yani jamaa anazipatia zile movie sijui anapata wapi ule ujuzi.🙂Huwa nahisi yule jamaa in real life atakuwa ni psychopath.
Unakumbuka kwenye Ragnarok computer ya queenbee ilihitaji password toka kwa Strongest Avenger alive ambae ndio Hulk na kapigwa kizembe na Thanos akanywea wengine sijui itakuaje[emoji23]Nilicheka sana, Hulk aliogopa balaa akaona ameingia siko.. iron man anamkejel hulk apigane na Ebony Maw