Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Ndani ukutane na Deadpool, Groot, Venom na Loki [emoji23][emoji23]Kama watafanya hivyo basi itakuwa ni hatari tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ukutane na Deadpool, Groot, Venom na Loki [emoji23][emoji23]Kama watafanya hivyo basi itakuwa ni hatari tupu.
Deadpool yuko funny sana, pale alikuwa anashoot huku anahesabu risasi nachekaga sana.Ndani ukutane na Deadpool, Groot, Venom na Loki [emoji23][emoji23]
Sure! One thing I have, ni I put myself into a movie and I found myself there. Uki follow the contents wallah utapenda kila movie duniani. Expect bongo movie, these guy should improveTuichukulie mfano LUCY mtu atakwambia movie halieleweki lakini kama ni mfatiriaji wa vitu utakuwa umepata idea wanaongelea binadamu tunatumia just 10% ya ubongo wetu!. Vitu ambavyo kwa kawaida tunaanza muona mtu genius akiweza tumia asilimia nyingi zaidi, tujiulize je akiweza tumia 100% ya ubongo itakuaje?...
Mtu wa kawaida anapoangalia STAR WARS au STAR TREKK atakwambia utoto lakini je kafatiria maendeleo yanayoendelea kuhusu warp engines!?...Hizi Hyperloop technology kwa miaka ijayo itakuja fanya tuone hizi movie za kitoto sana!..Pale each potray itakapokuwa imewezekana!.
LucyTuichukulie mfano LUCY mtu atakwambia movie halieleweki lakini kama ni mfatiriaji wa vitu utakuwa umepata idea wanaongelea binadamu tunatumia just 10% ya ubongo wetu!. Vitu ambavyo kwa kawaida tunaanza muona mtu genius akiweza tumia asilimia nyingi zaidi, tujiulize je akiweza tumia 100% ya ubongo itakuaje?...
Mtu wa kawaida anapoangalia STAR WARS au STAR TREKK atakwambia utoto lakini je kafatiria maendeleo yanayoendelea kuhusu warp engines!?...Hizi Hyperloop technology kwa miaka ijayo itakuja fanya tuone hizi movie za kitoto sana!..Pale each potray itakapokuwa imewezekana!.
Deadpool alitakiwa apate adui kama wa batman na joker [emoji2]Deadpool yuko funny sana, pale alikuwa anashoot huku anahesabu risasi nachekaga sana.
Teenage mutants turtle ninja huwa unazicheki?
South Africa walijaribu na CHAPPIE lakini huwa naona lile robit linakuwa too much binadamu.Sure! One thing I have, ni I put myself into a movie and I found myself there. Uki follow the contents wallah utapenda kila movie duniani. Expect bongo movie, these guy should improve
hahh kama mawazo ya INCEPTION na INSOMNIA.Lucy
Ni kiboko sana, Yale mawazo ni extraordinary,
Weee ila Loki na Deadpool ni balaa.......Ndani ukutane na Deadpool, Groot, Venom na Loki [emoji23][emoji23]
Kama sikoseii ni comic hii, lakin MCU hawezi toa movie kufikia uku, spiderman kwa sasa ana iron spidey suit n balaa inampa speed na strength si mchezo...Weee ila Loki na Deadpool ni balaa.......
Kuna Comic moja Loki alimbadilisha Spider Man kuwa nguruwe........!
Halafu Asgardians wanakula sana Piggy sasa wakaanza kumfukuzia Peter Parker.......
Akawa analalamika kwamba yeye mtu majaa ndiyo yakafurahi yamekomaaaaa
Wade wilson Deadpool na parker ndo villains walio fun, they got sensor of humor tena especially huyu deadpool n mwehu balaa na hio healing power aliyonayo dah namkubal sanaDeadpool alitakiwa apate adui kama wa batman na joker [emoji2]
Hizo Teenage comic zake hua sizielwi hivi.. but movie kamili zipo poa sana!!..
Bwahahahahaha,View attachment 760837
Malcom Lumumba Deadpool amekuwa akimwandikia barua Tony Stark ajiunge na Avengers Tony akawa anazikataa, sasa huko mbele kuanzia Infinity War 2 tumtarajie na Deadpool kwenye Avengers maana Thanos kipigo alichotoa si mchezo!!..
HahahahahBwahahahahaha,
Hulk na ujeuri wote ule kakalishwa..
Teh teh teh thanos siyo wa mchezo mchezo......!
Marvel nzima hakuna Villain mbaya kama Thanos aisee!
Ni kali yeah. Ila akili za cloverfield ndio nzuri!.hivi hizo Cloverfield,Annihilation & I kill giants ni kali??
Kuna The Beyonder,Hahahahah
Thanos mwisho wa maelezo aseh!!.. Ubabe aliowaletea si mchezo!. Drax, Groot na Rocket Racoon kama kawaida yao na ujinga[emoji23].
Ila kuna sehemu nimesoma wanasema mbabe wa Thanos ni Captain Marvel.
Angalia mwishoni kabla Nick Fury hajapotea alikuwa anachat na Captain Marvel.
Hahahh Marvel inapoelekea tamu sanaa!!..Kuna The Beyonder,
Thanosa aliwahi kutana naye akiwa amevaa zile infinity stones zake akazifyatua lakini jamaa hata hakutikisika. Thanos aliogopa kichizi..The Beyonder ni balaaa sanaa