Movie Reviews

Movie Reviews

Kuna Jurassic nyingine after Jurassic World nazani 2019 inatoka!!..stay ready
Ila hizi movie za muendelezo kama alivyosema Malcom huwa zinazingua sana tofauti na classics zake. Huwa wanacheza ni ile watu kupenda basi wa make pesa. Nilikuwa nacheki Maze runner death cure bado sijaimaliza maana ilinichosha kwa ubaya wake. Jurassic world sikuilewa sana labda hiyo sequel yake watatulia.
 
Nilivyomuona Cate Blanchett kama kubwa la majamba nilijua tu itasimama, na kweli.
Hivi unajua Hela ni demu wa Thanos ???
Yaani Avengers Infinity War unaweza kukuta Cate Blanchett karudi.
Maana Thanos anatafuta zile Infinity Stones ili amfurahishe Hela kwa kufutilia nusu ya Universe.....Sasa Odin alimfungia Hela baada ya kuhisi kwamba wakiwa na Thanos wataleta madhara makubwa (This is per Comic Books)

Palantir
 
Hivi unajua Hela ni demu wa Thanos ???
Yaani Avengers Infinity War unaweza kukuta Cate Blanchett karudi.
Maana Thanos anatafuta zile Infinity Stones ili amfurahishe Hela kwa kufutilia nusu ya Universe.....Sasa Odin alimfungia Hela baada ya kuhisi kwamba wakiwa na Thanos wataleta madhara makubwa (This is per Comic Books)

Palantir
sikuwa na Info hizi, wakijoin force itakuwa balaa kubwa. Unashangaa movie unaanza kushabikia majamba!!!
 
Ila hizi movie za muendelezo kama alivyosema Malcom huwa zinazingua sana tofauti na classics zake. Huwa wanacheza ni ile watu kupenda basi wa make pesa. Nilikuwa nacheki Maze runner death cure bado sijaimaliza maana ilinichosha kwa ubaya wake. Jurassic world sikuilewa sana labda hiyo sequel yake watatulia.
True yani mpaka unaona hakuna maana tena. Maze runner toka Scorch Trial nikaona tatizo!
 
Hivi unajua Hela ni demu wa Thanos ???
Yaani Avengers Infinity War unaweza kukuta Cate Blanchett karudi.
Maana Thanos anatafuta zile Infinity Stones ili amfurahishe Hela kwa kufutilia nusu ya Universe.....Sasa Odin alimfungia Hela baada ya kuhisi kwamba wakiwa na Thanos wataleta madhara makubwa (This is per Comic Books)

Palantir
Hahah!!.. mkuu naona unamwaga mchele, ngoja na mie niendelee
Hivi unajua Scarlet witch a.k.a Miranda Marxmoff ni mtoto wa Magneto yure wa X-men! (jiulize zile nguvu na kaka ake walizipata wapi?, na wanaitwa the enhanced bado Mutant world haijawa open kwenye avengers).
Halafu mke wa Black Panther ni Storm (harry barry) wa X-men!. Captain America na Iron Man watatakiwa wafe ili kuopen Multiverse: X-men / Avengers).
As per comic still!
 
sikuwa na Info hizi, wakijoin force itakuwa balaa kubwa. Unashangaa movie unaanza kushabikia majamba!!!
Marvel ni kubwa sanaa!!.. Captain America atatakiwa kufa halafu bucky barnes/winter soldier ndio awe Captain America (unakumbuka anavyoweza hold ile shield!)
Iron man anampenda na anamuandaa Spider man sababu Spider man ni the next leader wa kizazi cha super hero wajao!.
Yani jamaa wanajaribu kuileta MCU kwenye cinema lakini kwa akili za watu watashindwa kuielewa mapema inabidi waanze kuwaconnectia dots taratibu!.
 
Hahah!!.. mkuu naona unamwaga mchele, ngoja na mie niendelee
Hivi unajua Scarlet witch a.k.a Miranda Marxmoff ni mtoto wa Magneto yure wa X-men! (jiulize zile nguvu na kaka ake walizipata wapi?, na wanaitwa the enhanced bado Mutant world haijawa open kwenye avengers).
Halafu mke wa Black Panther ni Storm (harry barry) wa X-men!. Captain America na Iron Man watatakiwa wafe ili kuopen Multiverse: X-men / Avengers).
As per comic still!

Haahaaa hizi nilioana,
Kuna moja Storm aliwahi kuwachachafya sana Wakanda yote.
Halafu sasa Scarlett Witch ana undugu na Quick-Silver (Days of the Future Past) ambaye naye ni mtoto wa Magneto.
Steve Rogers akifa Captain America atakayekuja ni mwanamke aisee, japo sasa sijajua kama watamweka huyu mwanamke au James Rogers.......!.!..!...!
 
Marvel ni kubwa sanaa!!.. Captain America atatakiwa kufa halafu bucky barnes/winter soldier ndio awe Captain America (unakumbuka anavyoweza hold ile shield!)
Iron man anampenda na anamuandaa Spider man sababu Spider man ni the next leader wa kizazi cha super hero wajao!.
Yani jamaa wanajaribu kuileta MCU kwenye cinema lakini kwa akili za watu watashindwa kuielewa mapema inabidi waanze kuwaconnectia dots taratibu!.
Kama watafanya hivi basi watakuwa wamepiga bonge la hatua aisee.....!
Maana kama X-Men watahusishwa basi watu kama Captain Sinister lazima tutawaona.
Maana anayepanga hii michezo yote michafu ni yeye na wakina Thanos hawajui kama wanachezewa...!
 
Haahaaa hizi nilioana,
Kuna moja Storm aliwahi kuwachachafya sana Wakanda yote.
Halafu sasa Scarlett Witch ana undugu na Quick-Silver (Days of the Future Past) ambaye naye ni mtoto wa Magneto.
Steve Rogers akifa Captain America atakayekuja ni mwanamke aisee, japo sasa sijajua kama watamweka huyu mwanamke au James Rogers.......!.!..!...!
Hahh tutafika tu, si umeona hii Avengers: infinity war alivyobadilika halafu na ile shield kamuachia Tony.
Halafu nilikua kumbe Captain America alitengenezwa kuja pigana na Mutants!. Hydra ilikua sio first motive
 
Kama watafanya hivi basi watakuwa wamepiga bonge la hatua aisee.....!
Maana kama X-Men watahusishwa basi watu kama Captain Sinister lazima tutawaona.
Maana anayepanga hii michezo yote michafu ni yeye na wakina Thanos hawajui kama wanachezewa...!
Yeah kuna sehemu nilisoma X men wa kwanza kuanza nae wanamfikiria Wolverine!. ingawa X-23 (yure dogo) nae wanaenda mpa movie yake!.
 
Hahh tutafika tu, si umeona hii Avengers: infinity war alivyobadilika halafu na ile shield kamuachia Tony.
Halafu nilikua kumbe Captain America alitengenezwa kuja pigana na Mutants!. Hydra ilikua sio first motive

Hahaha aiseee....!
Mbona balaa sana sasa, hivi kweli anagweza kupigana na wakina Magneto kweli ???
 
Hahaha aiseee....!
Mbona balaa sana sasa, hivi kweli anagweza kupigana na wakina Magneto kweli ???
Hahahh super soldier asiyechoka!.. Lakini yeye si alikuwa prototype tu, labda wangeendelea zalisha wengine wakali zaidi..
Hebu wafikirie wale winter soldiers wengine waliouliwa kwenye civil war, hadi burnes alikubali wale ni hatari zaidi yake!.
 
Back
Top Bottom