kwamba TMNT watakua Avengers? hao si wa Nickelodeon. ila mbona Watu wa Guardian of the Galaxy wapo Avengers?Green Lantern yupo DC Comics msubiri kwenye Justice League/Suicide Squad nadhani watamleta yule Black sasa!!..
Deadpool ni Sony wakikubaliana na Marvel basi hata Mutants utawaona kwenye Avengers/Guardian of the Galaxy/X-Force!.
Nakubaliana na ww bibie humo ndo kila kitu wanatumia kutu brain washAsantee mkuu[emoji120]
Bado mkuu vipi ipo HD au ndio hizi animation za kawaida!..Umeiona Animation ya Transformers Prime ???
TMNT ina maanisha kitu gani!?.kwamba TMNT watakua Avengers? hao si wa Nickelodeon. ila mbona Watu wa Guardian of the Galaxy wapo Avengers?
TMNT nilimaanisha Teenage Mutant Ninja Turtles inatengenezwa na Nickelodeon.TMNT ina maanisha kitu gani!?.
Guardian of the Galaxy na Avengers ni Marvel character na kuna Mutants (X-men) hawa wao umiliki ni wa Sonny ila Marvel anabargain nao wamerge kampuni ili aweze watumia (zamani Marvel ilijitenga) na wao ndani ya MCU -Marvel Cinematic Universe.
Ingawa kuna kipindi kwenye comics District Comics na Marvel Comic huwa wanaungana sometimes kuwatumia character wao kama kipindi Batman alipokuwa anatafutwa kila sehemu ikabidi akaombe msaada kwa Tony Stark (Iron Man).
Wale Turtles sio product ya kampuni hizo, Nickelodeon wanajitegemea!.TMNT nilimaanisha Teenage Mutant Ninja Turtles inatengenezwa na Nickelodeon.
Hapo sawa ila naona Justice league wamemuongeza yule dogo wa Lord of the ring anayepiga mishale.
napenda Hug Jackman (X man aongezwe Avengers)
Hapo sawa.Wale Turtles sio product ya kampuni hizo, Nickelodeon wanajitegemea!.
Aliyeact Deadpool ndio aliyeact kwenye wolverine origin na ndio aliyeact kwenye Green Lantern.
Kilichotokea wameamua kumtoa kwenye hizo movie zote, karud nyuma kaenda jiua hapo wanakua wamezifanyia reboot tayari Green Lantern, X-men na Wolverine.
Kwenye mkataba wa MCU a Sonny yasemekana wanamtaka sana Logan/Wolverine kwenye Avengers na kingine Deadpool anataka sana kuingia Avengera ila Tony hataki.
Tusubiri X-men: Dark Phoenix itaonyesha uelekeo!..
HDBado mkuu vipi ipo HD au ndio hizi animation za kawaida!..
Nami pia.Haahaaa tuko tofauti kidogo mimi naonaga Science fiction kama too much of fantasy hivyo sizikubali kihivyo maana teknolojia ya humo za ajabu mara mtu anaweza ku-video call na "the future"?? Mara mtu anaweza kurudi back in time let alone silaha zinazotumika humo too much fantasy
Movie nazopenda ni zile crime thriller hasa zenye kuonyesha jinsi ya wanausalama na forensic investigators wanavyo tegua vitendawiili vya uhalifu bila kusahau a lot of hacking zipo involved humo dah burudani tupu napenda sana movie za kufikirisha hivyo jinsi watu wanavyowekeza akili kwenye kutatua matatizo
Ila kwa sci-Fi nlioipenda kidogo ni star wars kina dath vader,obi wan kenobi na anakin skywalker si mchezo!
Iron Man ni Icon ya MCU hadi sasa!.. Yeye ndio alikuja na wazo la kuunda Avengers na akatoa Stark Tower kuwa makao yao!.. Kama uliicheki Avengers 1. Ingawa kiuhalisia Captain America ndio Leader of Avengers!Hapo sawa.
Kwahiyo Tony Stark ana cheo gani hapo Avengers hadi yeye akatae..?
Ngoja niitafute hii.
Hapo sasa nimeelewa. Hivi katika super heros wote nani mwenye uwezo mkuu zaidi ya wotee...?Iron Man ni Icon ya MCU hadi sasa!.. Yeye ndio alikuja na wazo la kuunda Avengers na akatoa Stark Tower kuwa makao yao!.. Kama uliicheki Avengers 1. Ingawa kiuhalisia Captain America ndio Leader of Avengers!
Mimi sio mtazamaji mzuri wa izo movie.. nikipataga laptop ya kugongea natazamaga ,hasa nikiwa na utulivu yani utagundua katika kila scene kuna mafumbo na maana zaidi ya 5....Nakubaliana na ww bibie humo ndo kila kitu wanatumia kutu brain wash
Hollywood sio wa mchezo.
Vi rendra huku naomba tujadili tu hizi muvi as for entertaining ourselves. but tukiaanza kuchimbua yaliyo nyuma ya Hollywood na muvi zao ni hatar. Nadhani tutaenda hadi kwenye zile family 13 za illuminatiMimi sio mtazamaji mzuri wa izo movie.. nikipataga laptop ya kugongea natazamaga ,hasa nikiwa na utulivu yani utagundua katika kila scene kuna mafumbo na maana zaidi ya 5....
hapo ndo utajua watu hawafanyi fanyi tu wanafanya kweli.. ila ukifanya cinema kama entertainment hutaona chochote zaidi ya ma transformer yasioeleweka
Kila mmoja ana mbabe wake, na kuna wengine bado hujawaona kwenye TV lakini wapo kwenye vitabu!.. Ila kuna kiumbe kinaitwa One Above All huyo ndio kama mungu, kuna Lord Chaos na Master Order nao wana uwezo wao!.. Kuna Living Triburnal nae ana power zake!.. Hata Thanos alipigwa na mtoto wake anaitwa Thanes.Hapo sasa nimeelewa. Hivi katika super heros wote nani mwenye uwezo mkuu zaidi ya wotee...?