Movies 15 ambazo hupaswi kuzikosa kwenye Library yako muda wote

Movies 15 ambazo hupaswi kuzikosa kwenye Library yako muda wote

LIsti haijakamilika, sijaziona

Komando kipensi,
Anodi ya jeni
Vandame wawili
Dame na tompoo
Jackie chain, kipanya msosi
The hard way, mniga analiwa na mamba
Anodi ya jini.
Frank zagarino, mavet mtanikoma
Adui ana mkono wa chuma
Jack chain mmasai
Mark dagascos na rasta
No retreat, matias na kisima cha mamba
Na nyingine kibwena.. enzi hizo movie lazima ipate jina la AKA.

Halafu mfasiri awe marehemu lufufu.
Mkuu umenikosha Sana hapo "adui ana mkono wa chuma" [emoji28] bila Shaka unamaanisha blood Moon ya Gary Daniels. Movie kali kinyama. Mkuu hebu nikumbushe jina la Ile movie ya jamaa alitumwa kumuua boss. Alienda akazama uvunguni mwa gari Ile boss anatoka Tu kanisani alichapwa risasi nyingi Sana. Basi wapambe wa boss wakaamza kumsaka jamaa hapo ndo kuna balaa. Kuna jamaa alikua kishingo anapiga mkono balaa
 
Kwa faida ya wengine pia Kuna
1. Show down in little Tokyo - mzee baba Gary hiroyuki tagawa , tia carere,Brandon Lee na chapombe dolf
2. Dead or alive D. O.A -yupo mwanadada princess kasumi[emoji95][emoji95][emoji95]
3. WAR- jet LI vs Jason Statham [emoji108][emoji108][emoji108] hakika Kuna kichapo humo
4. Unleashed yake jet LI na mzee Morgan Freeman [emoji95][emoji95][emoji95][emoji3577]
5. The raid ,undisputed ya chalii Iko uwais hakika mapot wa Indonesia waliteseka sana humu
6. Cradle to the grave ya gangsta d.m.x na jet LI na mrembo Aaliyah r.i.p
7. Broken path au broken fist au ukipenda iite attack of the Yakuza zilichapwa [emoji2935][emoji2935][emoji2936] humo Japo hii movie sio popular.
8. Naked weapon [emoji39][emoji39][emoji39] ndo utajua ashki zako zinaweza kutumika kukudedisha

9. Na zingine nyingi....
Kwa wapenzi wa horror pia mnazikumbuka hizi nadhani

10.Saw ya mzee crammer the specialist machine killer[emoji95][emoji95][emoji95][emoji28]
11. MIRROR ya mzuka wa mrembo mmoja kwenye kioo
12. Final destination 5 (watching you step) hii ndio my best movie kwenye franchise nzima.
13.the night on elm street... Jamaa anayeua watu ndotoni
14 THE EXORCIST tambara lililotoka miaka ya mwanzoni mwa 1970s . hakika lilinitisha sana hili dude.[emoji36][emoji36] Na imepigwa marufuku kuonyeshwa kwenye Baadhi ya nchi za ulaya ikiwemo uingereza.
Zingine Kuna
The Manchurian candidate ya Denzel Washington (napendekeza uitazame kama wewe unapenda kujua mipango ya Siri na za kutisha za haya mashirika ya kijasusi kama CIA

The bullet proof monkey ya chow Yun fat[emoji95][emoji95][emoji95][emoji39].

Asee list ni Kubwaa [emoji125][emoji125]
No 5 na 8 NI kisanga... [emoji2]
 
Yes, mtaalam gary daniels ..

Hiyo movie jina lina kuja na kukata.
Mkuu umenikosha Sana hapo "adui ana mkono wa chuma" [emoji28] bila Shaka unamaanisha blood Moon ya Gary Daniels. Movie kali kinyama. Mkuu hebu nikumbushe jina la Ile movie ya jamaa alitumwa kumuua boss. Alienda akazama uvunguni mwa gari Ile boss anatoka Tu kanisani alichapwa risasi nyingi Sana. Basi wapambe wa boss wakaamza kumsaka jamaa hapo ndo kuna balaa. Kuna jamaa alikua kishingo anapiga mkono balaa
 
sio kwa mtiririko wa ubora, ila kwangu mimi hizi ni movies naweza angalia kila week na nisizichoke.

1. 13 Hours
2. In the Heart of the Sea
3. Australia
4. The Finest Hours
5. The Perfect Storm
6. Catarina
7. Shawshank Redemption
8. Saving Private Ryan
9. 1917
10. The 12th Man
11. Forrest Gump
12. The Green Mile
13. The Duke of Hazards
14. 3 idiots
15. Apocalypto

Kwenye hii list sina hata movie moja hapa [emoji119][emoji119]. Wife anajaza wakorea tu kwenye external yangu[emoji23][emoji23]
 
Kwangu

Years of the Sun
Saving private Ryan
Black hawk down
Fury
 
Kwenye hii list sina hata movie moja hapa [emoji119][emoji119]. Wife anajaza wakorea tu kwenye external yangu[emoji23][emoji23]
Dahhh....hizo movie zote hata uzirudie vipi utaziangalia na adrenalin ipo juu muda wote kama hujui kinachojiri kumbe movie yote ushaingalia.
 
Kama hujaweka The shawshank redemption! Bas hamna kitu apo
 
Back
Top Bottom