Huyo askari hilo jicho mmhhWahanga wa vichapo vya marehemu View attachment 689275View attachment 689276marafiki katika gameView attachment 689277askari police aliyejaribu kumsimamisha
Huyu traffic kala ndumu ya kisimiri au tabora,yani jicho nyanyaWahanga wa vichapo vya marehemu View attachment 689275View attachment 689276marafiki katika gameView attachment 689277askari police aliyejaribu kumsimamisha
Hiyo video sidhan Kama ni Uganda, hilo tukio litakuwa linafanana ila sio lenyewe
Hata wewe mdogo wangu,unalia kwa vibration tu! maana kale kasauti kake kalikuwaga kanachowachoma kihisia! kama ile kitu yetu!Ndio inavyokuwaga Mungu awatie nguvu tu hao mademu kama nawaona
MY BEST VOCALIST IN AFRICA;Alikuwa na sauti ya ajabu sana.unaweza ukawa mpole na bado ukachukiwa.
Duh! Nimemuogopa huyo Kasuku na hiyo prophecy aliyofanya juu ya marehemu.Jamaa kifo alikitafuta mwenyewe hapo bar,kamkejeli meneja hana uwezo wa kumnunulia black bottle belaire,meneja kwa hasira akamnunulia,yeye kaifungua kamwagia mteja wa watu aliyekuwa anaenjoy kivyake,bouncers kujaribu kutuliza hali nao wanaambulia matusi,kwa kifupi anajulikana kwa matukio ya ugomvi na dharau..chini ni habari ya radio host kasuku aliyoongea radioni last year baada ya jamaa kutupa laptop ya dj kwenye swimming pool,alimuambia ya kwamba asipojirekebisha kuna siku atapigwa na kupasuka kichwa na kufa...
Dembe FM’s Kuku Wazabanga aka Kasuku is well known for always talking trash/ill about celebrities and musicians especially when he talked about how Eddy Kenzo hired goons to beat up the late Danz Kumapeesa and at this moment he prophesized about Radio’s death.
A few months ago, last year after the death of city tycoon Ivan Semwanga, Kasuku went on a live radio show on Dembe FM which airs every morning, Radio threw a DJ’s laptop into the swimming pool and Kasuku said that if Radio doesn’t stop his violence, he will be beaten and his head will be shattered to death.
While on a live radio show, Kasuku asked the listeners to pull out their recorders and record the show, now what he said is exactly what happened, Radio got into a fight, got beaten u badly with his head shattered and now he’s dead.
” Kyokka Ugandans…. Mbalaba munjasamira but u will all b fine. Rest in peace Moses Ki Radiology.” Kasuku said in his defence.
source: VIDEO: Kasuku Prophesized that Radio Will be Beaten and his Head Shattered to Death — Blizz Uganda
Age 33Said 42+
Ana kipaji kikubwa cha asili, yy na weasley kundi lao ni noma sana , pia ana muonekano mzuri na sauti ndio hatari , kwa kipaji chake sidhani kama eac kuna mtu anamfikia , Rip radioAliwezaje kupendwa na ukorofi wote huo!?
Wabongo wengi hawamjui radio , hila mshikaji alikuwa very very talented, nimemjua toka 2009 ,tatizo halikuwa haimbi sana kiswahilimimi hata nilikuwa simjui, nimeanza kumtafiti jana niliposikia kuna msanii amekufa kwa kupigana na m7 hadi alimchangia hela apone,..ndio sura yake nikaifahamu ila nilikuwa simjui. uganda nilikuwa namjua tu camelion na juliana etc....
Hizi sifa za marehemu[emoji23] , kabla ya kifo chake sijawahi ona thread inayomuhusu hata1 hapa JFAna kipaji kikubwa cha asili, yy na weasley kundi lao ni noma sana , pia ana muonekano mzuri na sauti ndio hatari , kwa kipaji chake sidhani kama eac kuna mtu anamfikia , Rip radio
Wewe naakili yako unaamini hiyo ndo clip yenyeweClip yenyewe ya ugomvi ndio hiyo
Leta ya kwako maana unaleta u sokomoko chapombeWewe naakili yako unaamini hiyo ndo clip yenyewe
Huoni hata muonekano wa mtu kwenye hiyo clip ni tofauti kabisa na Radio, hata lugha na mazingira ni tofauti kabisa
Kweli wabongo wape habari tu picha/video wataweka wenyewe