Mowzey Radio tunamlilia, lakini je tunayafahamu haya?

Mowzey Radio tunamlilia, lakini je tunayafahamu haya?

Kale ka inshu ka kubwia ngada naona umekasahau mshana jr, ukiwa hata umelewa kwa kilevi kimoja kama mimi wa charlz glass, yasingetokea haya, ngada zilikuwa zimkolea high zaidi ya hi5! Na ile kutaka anyenyekewe as vip wakati club wote ni flat-rate!
Hapa ndio umeongea.
 
Ww tukiorodhesha toka utoto wako hadi kufikia hapo umegomnana na wangapi? Utasimama?
 
Hapa ndio umeongea.
NADHANI NINGEKUWA KARIBU YAKO, NAWEWE, UNGENIBARIKI MAMBO YETU YALE! JIMAMA! EEH MAMA MAANA USHAURI KAMA HUU ALIKUWAGA ANAUTOA ALBERT EINSTEIN! BINGWA LANGU LA FIZIKIA!...
 
Maskini mozey daah sikuona hii video yani karushwa kama mbwa maranyingi watu wakilewa akili kidogo zinabebwa na kilevi angemchukulia poa tu kwani alikua na silaha kumjeruhi mtu daah! Hajui kaumiza watu wangapi waliokua wanamtegemea mozey
huyu baunsa hana maadili ya kazi anajua club watu wanakunywa pombe wanalewa na ndio sehemu ya mshahara wake unapotoka hakika kwa kitendo na yeye kamba ipite shingoni analeta mambo ya wwe mieleka club maskini mozey
Rest in eternal peace[emoji120]
Ipo maeneo gani hiyo video? Niandike nini ku-retrieve?
 
UMEMJIBU KWA JICHO LA TATU, AKIWEZA KUNG'AMUA HICHI ULICHOMWAMBIA, UNIBEEP! VIJANA WA KIZAZI HIKI CHA NYOKA! WANASOMA PASIPO KUELEWA CONCEPT!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom