Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaumiza sana unaishi na mke wako miaka kumi na tano ya ndoa mna watoto wakutosha, Inatokea Anafirw** na boda huko anakuona mume huna ishu na anataka muachane,
Changamoto sanaIla haya mambo yana changamoto sana ujue
Bro maneno yako yamenigusa, nimelia sana.....Nachoweza kusema, kama unaweza anza kutimiza malengo ya maendeleo yako, kabla hujaingia kwenye mapenzi miguu miwili.
Nawaombea wote wenye changamoto za kidunia. Mwenyezi Mungu akawaguse, wapone mioyo na wapate haja za mioyo yao. Duniani tunapita...
Kasie weshu wapi wewe
Ngumu sana kuhimili hii lakini ukiwaangalia tu wanao unapata faraja ya ajabuIn
Inaumiza sana unaishi na mke wako miaka kumi na tano ya ndoa mna watoto wakutosha, Inatokea Anafirw** na boda huko anakuona mume huna ishu na anataka muachane,
Kimya kimya unashangaa tu talaka ipo mezani tena hivi viajiriwa ndiyo tabu tupu!
Mioyo ya waliokuwa karibu naye imeumia, imevuja damu, imevunjika na kupondeka...Nzeze weangu...!!😀
Kuna habari iko hivi...
Binti wa miaka kato ya 30 na 40, huku na kule kakutana na mahusiano akapata mtoto katika umri huo kabla hawajaamua kufunga ndoa mtoto akafa. Mwaka uliofuata wakaona na waliyezaa nae, miezi miwili baada ya ndoa yao binti anaumwa ghafla maumivu ya mifupa na kuaga dunia.
Simple like that......🤔🤔🤔
Binti ana wazazi, ana ndugu ana marafiki ambao walihusiana kipindi cha uhai wake... kwenye shida na raha...
Binti kazikwa kabya ya kufikia miaka 40 na hakuacha mtoto, kaacha wazazi na mume.
Mioyo ya waliokuwa karibu naye imeumia, imevuja damu, imevunjika na kupondeka...
Wanahitaji tumaini la kusonga mbele.
Waume, niungie miundi.
Mbona hii kampeni siielewi
In
Inaumiza sana unaishi na mke wako miaka kumi na tano ya ndoa mna watoto wakutosha, Inatokea Anafirw** na boda huko anakuona mume huna ishu na anataka muachane,
Kimya kimya unashangaa tu talaka ipo mezani tena hivi viajiriwa ndiyo tabu tupu!
🤣🤣🤣🤣 Lazima iwachanganye cute🥴Mbona hii kampeni siielewi
Hatuna muda wa kutia hurumaMapenzi hayaishi fasheni ndio maana tunapenda tena na tena
Acha bwanaaa watu tunataka kuwa inlove we unataka tufe🤣🤣🤣🤣 Lazima iwachanganye cute🥴
🤣Sawa mpenz, nimekuelewa 🙏Acha bwanaaa watu tunataka kuwa inlove we unataka tufe